92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
WwMimi na ww nani anae ongea pumba sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WwMimi na ww nani anae ongea pumba sasa?
Wee hii sio justification ya kulea bao la mtu aisee, kila mtu aleee bao lake, unaleta habari za karne huko hata DNA ilikuwa haijulikaniAlaf hata kama sio wako lakini mkeo kakuambia ni wako unapungukiwa nn kumlea kama wako tu. Ukiona mwanaume anapata shida kulea basi huyo angetakiwa awezeshwe kubeba mimba azae ili alalamike kama mwanamke......... Zamani wazee wetu walilea mpka watoto wasio wajua kwakua walikua na moyo na utu
SawaWee hii sio justification ya kulea bao la mtu aisee, kila mtu aleee bao lake, unaleta habari za karne huko hata DNA ilikuwa haijulikani
Tena nyie wa hivi ndio mnapigwaga za kichwa ukija mtandaoni unajidai una msimamo ila ukute ushashikishwa😂😂Wee hii sio justification ya kulea bao la mtu aisee, kila mtu aleee bao lake, unaleta habari za karne huko hata DNA ilikuwa haijulikani
Mkuu unajua kitu kinaitwa alleles? Tuanzie hapo kwanza??Lemme give you a simple Chellenge..
Anayekuchapia Ana Group B...
Mtoto AnaGroup AB..
Mama ana Group AB
Na Wewe una Group O..
Give me chances?
Kuwa mtoto wako au sio wako?
Au Simple..
Wewe una Group A...
Mama Anagroup B..
MTOTO Anagroup AB...
Lets say mtoto sio wakp niambie Baba ana group gani?..
Hakuna Primitive ways ya KuAnalyse Breeding kama kutumia Blood Group...
Njia ya kienyeji ya kujua mtoto sio wako siki akizaliwa kwa mara ya kwanza akianza kujua kufungua macho na kumwangalia mtu. Kama baba yake jaribu kumpea eyes contact huyo unaezani ni mwanao. Ukiona gafla umepata kauchachu /uchungu moyoni kama mtu alie kula ndimu au embe bichi basi nenda kapime DNA.Wakuu kwema watu wengi hawajui hili kwamba mtoto akizaliwa lazima achukue group la damu kutoka kwa wazazi wake anaweza kuchukua group la mama au group la baba au aka mix kutoka kwa mama na baba pamoja.
Wale wenye wasi wasi kwamba wanalea mtoto lakin anahisi sio wake karibu PM ili niweze kuwafanyia calculation tuone group ambalo analo mtoto ni limetoka kwa nani!
Calculation hizi zinahutaji ujue group la baba, mama na la mtoto ambae unahisi sio wako
NB: hii njia sio confirmation test bali ni njia ambayo itakupa nguvu na morali ili ujitose sasa ukafanye DNA test kwa uhakika wa 95-100%
Acha upumbavu weweAlaf hata kama sio wako lakini mkeo kakuambia ni wako unapungukiwa nn kumlea kama wako tu. Ukiona mwanaume anapata shida kulea basi huyo angetakiwa awezeshwe kubeba mimba azae ili alalamike kama mwanamke......... Zamani wazee wetu walilea mpka watoto wasio wajua kwakua walikua na moyo na utu
🤣🤣Mkuu unajua kitu kinaitwa alleles? Tuanzie hapo kwanza??
DNA yenyewe kapima nje ya nchi hapa bongo kama mtoto sio wako utapewa majibu ya mchongo kwa kisingizio cha kulinda masilahi ya mtotoBora kupima DNA tu.
Kama huyo ke ana O, kitu recessive, na wewe una AB[emoji23], unaona hesabu zake?
Haya kuna uwezekano aliyekuchapia ana group kama yako
Haya ni mahesabu ya kubahatisha tu, DNA uhakika 100%
Sio Ukweli!DNA yenyewe kapima nje ya nchi hapa bongo kama mtoto sio wako utapewa majibu ya mchongo kwa kisingizio cha kulinda masilahi ya mtoto
Uongo mkubwa, unaweza ukawa unafanana na mtoto kwa muonekano wa nje na bado akawa siyo mtoto wako (not his or her biological father). Yawezekana mwenza wako amebebeshwa ujauzito na ndugu yako wa damu wa karibu kama vile mdogo wako au kaka yako, kisayansi mtoto aliyezaliwa bado upo uwezekano mkubwa sana wa kufanana na wewe kwa sifa za muonekano wa nje na hata kwa baadhi ya sifa za za ndani yaani kwa kiasi Fulani kutakuwa na mfanano wa baadhi ya sifa ktk mpangilio wa DNA kati ya yako na huyo mtoto ingawaje mtoto siyo wako.Hakuna kitu hapo mtoto kama ni wako kuna ufanano utakuepo hukuna haja ya DNA au blood group test or analysis
Ukiona mtoto hakuna feature yoyote inayoendana na wewe jua kuna mwamba alikuchezea faulo.Story za kafanana sijui na bamdogo sijui kwa babu zake ni uongo
• Mtoto wetu ana group O Rh +Wakuu kwema watu wengi hawajui hili kwamba mtoto akizaliwa lazima achukue group la damu kutoka kwa wazazi wake anaweza kuchukua group la mama au group la baba au aka mix kutoka kwa mama na baba pamoja.
Wale wenye wasi wasi kwamba wanalea mtoto lakin anahisi sio wake karibu PM ili niweze kuwafanyia calculation tuone group ambalo analo mtoto ni limetoka kwa nani!
Calculation hizi zinahutaji ujue group la baba, mama na la mtoto ambae unahisi sio wako
NB: hii njia sio confirmation test bali ni njia ambayo itakupa nguvu na morali ili ujitose sasa ukafanye DNA test kwa uhakika wa 95-100%
Hongera sana mkuu mimi ndo nimemaliza form 4[emoji1787][emoji1787]
Umemaliza Form six mkuu au form four [emoji1787][emoji1787]
Maana ndo maswali ya Form four na Form six leaver wa PCB..
Ok Najua Allele na Najua vingi kuihusu offcuz najua kuhusi Genetic Engeneering pia....
Unajua kuna aina ngali za magroup ya Damu? Na kwanini Iitwe Rh?
[emoji1787][emoji1787]..
I think nakushauri Usome mkuu Utajua KwNini nasema Blood Grouping its Not a Better analysis
Je una wasi wasi wowote juu ya huyo mtoto??• Mtoto wetu ana group O Rh +
• Mke Wangu ana group O Rh +
• Mimi nina Group O Rh +
Naomba unisaidie mkuu, ili nijue kama ni mtoto wangu au siye [emoji45].
Nina wasiwasi kuhusu "H - Gene" za mtoto. 😎Je una wasi wasi wowote juu ya huyo mtoto??
H gene mkuu imefanyaje embu fafanua sabab hata huyo mchepuko unae hisi amekugongea mke wako anayo H gene [emoji16]Nina wasiwasi kuhusu "H - Gene" za mtoto. [emoji41]
Haya Sawa Mpwa wangu jitahidi ujiridhishe na Ufanye Research nyingi kuhusu ulichoandika haidhuru!Hongera sana mkuu mimi ndo nimemaliza form 4
SawaAcha upumbavu wewe