Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Ndugu wajumbe ni hivi kuna hatua za awali as kutaka kujua kama mtoto ni wako au sio wako.

Na hatua hizi huanzia tangu mtoto yupo tumboni.


Kabla ya yote unatakiwa kujua kuwa mimba ni muunganiko wa Damu,nyama,mifupa na nafsi.

Kwenye damu hapa watu ndio hutumia hadi vipimo kutaka kuangalia kama damu zinaendana kati ya baba na mtoto.

Nyama hapa kwenye nyama ni pale vitu kama ngozi kufanana na wewe kama vile ndita mashavu nk.

Mifupa hapa mtoto anakua na umbo structure kama yako , kama vile matege nk.


Ila kubwa kuliko ni nafsi hapa wanaume wengi tunazembea ila kupitia nafsi uhakika wa mtoto kuwa wako au sio wako ni mkubwa sana. Kama mtoto ni wako hapa kuanzia mtoto anavyo kuwa tumboni unakua na muunganiko nae. Yaani mtoto akifika umri wa kucheza tumboni unakua na uwezo wa kuongea nae na akarespond vizuri tu.


Na kingine ni kubeba baadhi ya vitu kama mjamzito vile yaani unaweza ukawa unalala lala kama mamamjamzito...kikifika kipindi cha karibu na kujifungua pale ambapo mama mjamzito mbavu humuuma na mgogo basi hii unaweza pelekea hadi wewe baba kuumwa mbavu na mgongo.

Hapa kwenye nafsi ndio pana kila kitu ukiwa karibu na mama mjamzito utagundua mengi sana kama mtoto wako au sio wako na kipimo cha nafsi hakipo kwa mkemia mkuu hiki ni chako wewe kama wewe.

Sasa ndugu yangu kama unaishi na mkeo tangu abebe mimba hadi anajifungua hujawahi pata chochote kile basi we jua tu unalea damu za wenzio , mimba ikiwa yako kweli kuna vitu vingi utajihusisha navyo....mtoto akiwa tumboni utacheza nae na atacheza kweli. Zile ups and down za mimba utazipitia kama vile kulala lala, mbava kuuma ......nafsi yako kupenda kuwa karibu na hiyo mimba.......if non of above we jua tu umepigwa na likitu lizito nenda kwa mkemia akakukadirie kama akubebeshe au akuachie
Acha kujifariji ndugu umesha ibiwa, nenda tu DNA test ukapate uhakika. Kilichokuwa kinakulaza laza ni minyoo, Malaria na U.T.I wala sio muunganiko wa mtoto [emoji23][emoji23]
 
Acha kujifariji ndugu umesha ibiwa, nenda tu DNA test ukapate uhakika. Kilichokuwa kinakulaza laza ni minyoo, Malaria na U.T.I wala sio muunganiko wa mtoto [emoji23][emoji23]
Hiyo minyoo na uti iliisha wapi mkuu mbona now fresh
 
Hii noma mkuu
Noma zaidi ni hii,

Wazee wa zamani wenye wake wengi wakitaka kuthibitisha anamchukua dogo angali utosi unapumua, usiku wa mbalamwezi imechoza anatoka nae nje, anamgusisha kichwa cha mboo utosini, kama mtoto sio wake anakata moto papo hapo.

Niliisikia wazee watu wazima wakiizungumzia pahala.

Duniani kuna mambo.


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Noma zaidi ni hii,

Wazee wa zamani wenye wake wengi wakitaka kuthibitisha anamchukua dogo angali utosi unapumua, usiku wa mbalamwezi imechoza anatoka nae nje, anamgusisha kichwa cha mboo utosini, kama mtoto sio wake anakata moto papo hapo.

Niliisikia wazee watu wazima wakiizungumzia pahala.

Duniani kuna mambo.


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sema watu wabishi tu mkuu
 
Kipimo cha kuaminika nje ya DNA ni blood test. Mtoto akiwa wako lazma damu zenu ziendane ila zikiwa kinyume tu jua umepigwa kama Ngoma.
 
Eti wanasubiri DNA iwaambie [emoji23][emoji23][emoji23]
Huruma sana! Wale vijana wa hovyo ndio wanakuaga wanaume wa hovyo ndio wanakuja kua wazee wa hovyo
d31cd5f0b00f4d5d9b35e935aa42b43b.jpg
 
Ndugu wajumbe ni hivi kuna hatua za awali as kutaka kujua kama mtoto ni wako au sio wako.

Na hatua hizi huanzia tangu mtoto yupo tumboni.


Kabla ya yote unatakiwa kujua kuwa mimba ni muunganiko wa Damu,nyama,mifupa na nafsi.

Kwenye damu hapa watu ndio hutumia hadi vipimo kutaka kuangalia kama damu zinaendana kati ya baba na mtoto.

Nyama hapa kwenye nyama ni pale vitu kama ngozi kufanana na wewe kama vile ndita mashavu nk.

Mifupa hapa mtoto anakua na umbo structure kama yako , kama vile matege nk.


Ila kubwa kuliko ni nafsi hapa wanaume wengi tunazembea ila kupitia nafsi uhakika wa mtoto kuwa wako au sio wako ni mkubwa sana. Kama mtoto ni wako hapa kuanzia mtoto anavyo kuwa tumboni unakua na muunganiko nae. Yaani mtoto akifika umri wa kucheza tumboni unakua na uwezo wa kuongea nae na akarespond vizuri tu.


Na kingine ni kubeba baadhi ya vitu kama mjamzito vile yaani unaweza ukawa unalala lala kama mamamjamzito...kikifika kipindi cha karibu na kujifungua pale ambapo mama mjamzito mbavu humuuma na mgogo basi hii unaweza pelekea hadi wewe baba kuumwa mbavu na mgongo.

Hapa kwenye nafsi ndio pana kila kitu ukiwa karibu na mama mjamzito utagundua mengi sana kama mtoto wako au sio wako na kipimo cha nafsi hakipo kwa mkemia mkuu hiki ni chako wewe kama wewe.

Sasa ndugu yangu kama unaishi na mkeo tangu abebe mimba hadi anajifungua hujawahi pata chochote kile basi we jua tu unalea damu za wenzio , mimba ikiwa yako kweli kuna vitu vingi utajihusisha navyo....mtoto akiwa tumboni utacheza nae na atacheza kweli. Zile ups and down za mimba utazipitia kama vile kulala lala, mbava kuuma ......nafsi yako kupenda kuwa karibu na hiyo mimba.......if non of above we jua tu umepigwa na likitu lizito nenda kwa mkemia akakukadirie kama akubebeshe au akuachie
Umeongea ukweli mtupu! Wajinga wengi kwasababu wamepigwa hawataki kusikia hii mambo
 
Kipimo cha kuaminika nje ya DNA ni blood test. Mtoto akiwa wako lazma damu zenu ziendane ila zikiwa kinyume tu jua umepigwa kama Ngoma.
Anza na cha nafsi huna haja ya kwenda kwenye DNA huko kumekaaa kisiasa so utapigwa tu
 
Jaribu kumsema mtoto wako chini ya miaka 2 au 3,
Mfano akifanya Jambo lolote baya mkaripie au mkataze kwa kile anachokifanya,

--Kama ni damu yako mtoto ataacha anachokifanya na kuanza kulia na baadae atatulia.

--Kama sio damu yako utashtukia umepigwa na fagio,kiatu,
Au chochote kilichopo karibu yake.

Hiyo ni DNA proved kabisa..



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kumsema mtoto wako chini ya miaka 2 au 3,
Mfano akifanya Jambo lolote baya mkaripie au mkataze kwa kile anachokifanya,

--Kama ni damu yako mtoto ataacha anachokifanya na kuanza kulia na baadae atatulia.

--Kama sio damu yako utashtukia umepigwa na fagio,kiatu,
Au chochote kilichopo karibu yake.

Hiyo ni DNA proved kabisa..



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Walio pigwa watabisha
 
Back
Top Bottom