Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Wakuu kwema watu wengi hawajui hili kwamba mtoto akizaliwa lazima achukue group la damu kutoka kwa wazazi wake anaweza kuchukua group la mama au group la baba au aka mix kutoka kwa mama na baba pamoja.

Wale wenye wasi wasi kwamba wanalea mtoto lakin anahisi sio wake karibu PM ili niweze kuwafanyia calculation tuone group ambalo analo mtoto ni limetoka kwa nani!

Calculation hizi zinahutaji ujue group la baba, mama na la mtoto ambae unahisi sio wako

NB: hii njia sio confirmation test bali ni njia ambayo itakupa nguvu na morali ili ujitose sasa ukafanye DNA test kwa uhakika wa 95-100%
 
Wakuu kwema watu wengi hawajui hili kwamba mtoto akizaliwa lazima achukue group la damu kutoka kwa wazazi wake anaweza kuchukua group la mama au group la baba au aka mix kutoka kwa mama na baba pamoja.

Wale wenye wasi wasi kwamba wanalea mtoto lakin anahisi sio wake karibu PM ili niweze kuwafanyia calculation tuone group ambalo analo mtoto ni limetoka kwa nani!

Calculation hizi zinahutaji ujue group la baba, mama na la mtoto ambae unahisi sio wako

NB: hii njia sio confirmation test bali ni njia ambayo itakupa nguvu na morali ili ujitose sasa ukafanye DNA test kwa uhakika wa 95-100%
Ni uongo mkubwa sana huu.
Njia pekee na ya uhakika ya kujua uhalali wa mzazi kwa mtoto ni kwa kupima DNA tu, siyo huu uongo wako uliiweka hapa. Acha kupotosha umma.
 
Alaf hata kama sio wako lakini mkeo kakuambia ni wako unapungukiwa nn kumlea kama wako tu. Ukiona mwanaume anapata shida kulea basi huyo angetakiwa awezeshwe kubeba mimba azae ili alalamike kama mwanamke......... Zamani wazee wetu walilea mpka watoto wasio wajua kwakua walikua na moyo na utu
 
Niuongo mkubwa Sana kwasababu watu wanafanana magroup ya damu duniani. Kama una group A ujue Kuna watu wengine wengi Wana Hilo group
Kwaiyo mkuu wewe unagroup sawa na mchepuko wa mke wako?? Ndo maana nikasema hii sio accurate asilimia 100 ila itakupa mwanga kuwa unachokihisi ni kweli and you need to take further investigation DNA test
 
Wakuu kwema watu wengi hawajui hili kwamba mtoto akizaliwa lazima achukue group la damu kutoka kwa wazazi wake anaweza kuchukua group la mama au group la baba au aka mix kutoka kwa mama na baba pamoja.

Wale wenye wasi wasi kwamba wanalea mtoto lakin anahisi sio wake karibu PM ili niweze kuwafanyia calculation tuone group ambalo analo mtoto ni limetoka kwa nani!

Calculation hizi zinahutaji ujue group la baba, mama na la mtoto ambae unahisi sio wako

NB: hii njia sio confirmation test bali ni njia ambayo itakupa nguvu na morali ili ujitose sasa ukafanye DNA test kwa uhakika wa 95-100%
Primitive Ways
 
Hakuna kitu hapo mtoto kama ni wako kuna ufanano utakuepo hukuna haja ya DNA au blood group test or analysis

Ukiona mtoto hakuna feature yoyote inayoendana na wewe jua kuna mwamba alikuchezea faulo.Story za kafanana sijui na bamdogo sijui kwa babu zake ni uongo
 
Lemme give you a simple Chellenge..

Anayekuchapia Ana Group B...
Mtoto AnaGroup AB..
Mama ana Group AB
Na Wewe una Group O..

Give me chances?
Kuwa mtoto wako au sio wako?

Au Simple..
Wewe una Group A...
Mama Anagroup B..
MTOTO Anagroup AB...

Lets say mtoto sio wakp niambie Baba ana group gani?..

Hakuna Primitive ways ya KuAnalyse Breeding kama kutumia Blood Group...
 
Back
Top Bottom