Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Hujawahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu.
Utaona kuzimu duniani.
Wanawake wanataka dhahabu.
Tafuta hela.
 
ni kweli hakuna k ya bure japo zinatofautiana gharama, zipo za buku, zipo za laki na bei zingine huria, inategemea unataka ya gharama gani
Kwani ni k tu ndo zinanuliwa yani kwani mwanamke mwili wake huwe kitega uchumi kwanini yani?

Raha apate pesa achukue na kumuumiza MWANAUME amuumize
 
Facts,na kwa kuongezea kataa mwanamke mwenye roho ya kimasikini hii ni mbaya sana maana inajumuisha,ubinafsi,uchawi,uroho,umalaya,yaani kila baya unalolijua liko kwenye roho ya umaskini
 
Mwanaume anaoa mwanamke ili amtunze. Mpaka hapo wewe siyo mwanaume tafuta kundi lako haraka!
 
Hakuna K ya Bure Mzee Baba
Hebu ongeza sauti na uwaalike kwenye chama kama huku kwingine panawawia vigumu.

Maskini atapata masikini mwenzie, zali la mentali liliishia kwa profesa J, na zile Cinderella stories, ni stories za zamani sana ambazo hazifanyi kazi katika huu ulimwengu wa dijitali. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…

Unatakiwa uwe na vitu extra sana ili uopoe mtu ambaye ni wa class ya juu sana kwako.
 
Wanawake wanatukataa wanaume maskini pia
Umeongea point sana kama wao wanatuuliza maswali unafanya kazi gani na unanyumba au unapanga ifike mahala tuaanze kuwafanyia interview pia kujua uchumi wao pia kama anafanya kazi gan na uchumi wake ukoje uwezi pesa mwaume mwenye pesa na yeye hana hizo pesa ni ujinga na upumbavu
 
Kwani ni k tu ndo zinanuliwa yani kwani mwanamke mwili wake huwe kitega uchumi kwanini yani?

Raha apate pesa achukue na kumuumiza MWANAUME amuumize
lengo hasa la kuwa na mwanamke ni kupata k muda wowote ukitaka bila hofu, hayo mengine ni ziada tu. Penzi kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…