Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
 
Hyo story ya kuishi kama mwizi utusimulie ilikuwaje
 
Aisee pole, fanya kumalizia aisee.
 
Story tamu


Safiii.... umetuwakilisha vyema.
Hivi viumbe wakilia lia we tatua shida zao mara moja.. hutotumia nguvu kamwe.
Kuna mwingine siku nyingine tulikuwa naye kwenye basi ambalo lilianzia tunduma kwenda Dar, mimi nikapandia njiani, yeye kaanzia tunduma. Sasa nikagundua tunavyoshuka kuchimba dawa au kununua msosi yeye hashuki au akishuka hanunui kitu. Nikajiongeza nilivyoshuka kituo kilichofuata nikadouble vitu nilivyonunua (maji, soda, chipsi, nyama choma). Nilivyofika nikamgawia aisee alishukuru. Safari ikachangamka kabisa yaani tukawa kama mtu na mkewe.
Huyu sikumtaka kivile maana hakufiti kwenye vigezo vyangu, so sikuhangaika na kuomba namba. Ila nikajifanya namkubali ili asijisikie vbaya. Tukiwa mlandizi sijui alihisi nini huenda ameona tunaweza kuachana bila mm kuomba namba. Yeye ndo akachukua namba yangu, akanibip nikaisevu. Kesho yake akanitafuta ila sikuhangaika naye. Baada ya wiki akanitafuta tena sikuhangaika tena ikabidi tupotezane hivyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23], mnajitahidi kutoa huduma kwa abiria wenzenu,
 
Hahaha.. basi hapo atatoa ushahidi kwamba kuna wanaume wakarimu.. hawana Tamaa za kimapenzi anaweza kukusaidia bila kuomba papuchi..

Kumbee hajafiti kwenye mfumo na mwamba umeona yanini mie..

🤣
 
Hahaha.. basi hapo atatoa ushahidi kwamba kuna wanaume wakarimu.. hawana Tamaa za kimapenzi anaweza kukusaidia bila kuomba papuchi..

Kumbee hajafiti kwenye mfumo na mwamba umeona yanini mie..

🤣
Nina list ndefu ya wanawake ambao huwa tunaanzisha mawasiliano na urafiki ambao kwa ucheshi wangu (na mwonekano wangu)yeye huchukulia namtaka ila mambo huenda ndivyo sivyo. Mimi mwanamke ambaye nitamtaka hata kama issue ikija kubumburuka hata mke wangu itabidi akubali tu kuwa hapa jamaa hakuwa na namna. Pisi kali inayoeleweka. Nikichat nao kama 10 hivi naweza ambulia wawili tuu au mmoja.
 
Ewaa.. sio unakuwa ZOA ZOA tu .. upo sahihi. Sometimes we need to be very selective.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…