Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu zako zakipuuzi uwo ni ukwepaji wa kutongoza🙌
 
malaya hawa wakupatana nao unapata nao shida?
hao wauza kum.a wewe ndo umetumia njia ndeefu.
 
hii kesi kama mkuu 1 wa idarani,nikiandika hapa machawa watajua chap.

wake zao ndo wanatusumbuaga baadala wadili na wake zao......
 
Ujinga mtupu!! Duh nimechangia bila kuangalia hii post ipo forum ipi
 
Hahahaha... ungeweka shuka la Mmsai (10,000) uone kama hajakuchek
babu 10k?labda demu akupende mwenyewe tu sio kwaajili ya tembo!
kuna madem/wanawake wako vizuri kila idara.kuandika no kwa hela anaweza ona umechukulia poa.

kuna kila njia ya kudeal na kila mwanamke.

kuandika no kwenye tembo(10k) hawa uswazi take away/average.
 
Aisee___story tamu.
 
Umetisha,big up bro[emoji1317]


Tupo pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…