Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

πŸ˜„
Najua ulipiga sana hesabu namna ya kuniibia mpwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sijui kama usalama upo hata hivyo🀣🀣
Usalama upo mkufunzi. Usiogope hali ikiwa shwari nataka tujumuike wote pale kijiweni petu pamoja na wapwa
 
Ulidanganywa mkuu nyama zile hazifanani kamwe
Wakati una ngenye ndipo utaona hazifanani, sasa ukimwaga tu kamoja unaanza kukumbuka hela zote ulizohonga πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Ndipo utafahamu hakuna maajabu, kesho yake unatafuta mwingine na mwingine ila bado ni vile vile sawasawa na kubet....πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Bablai, kuna yupo ukimwaga unatamani kuendelea, lkn mwingine ukiingiza tu unatamani kuahirisha mechi asee
 
Nakuja
 
Wee jamaa una kaujinga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii scene ilikiwa ngumu
 
Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..

Kuna jinsi ya kushambulia huku unajilinda.

"Attacking while Defending"
Wewe inaonekana mzinzi sasa unashindwaje kuwa na business card mpaka uanze kutoa tiketi ya basi? Ukishakuwa na logo na business name unabaki na copy kwa mtu wako unakuwa unaenda kutoa copy kila zikiisha. Quality ya kawaida ni 10,000 unapata cards 100. Hili nalo linakushinda.

Tongoza the would be customer kwa kuhitaji namba kwa ajili ya biashara, at least akuone possible service provider. Ningekuonyesha screenshot ya namba niliyochukua Instagram jana kwa mdada mgumu aliyeanza anagoma kutoa namba. Of course nimeichukua kwa biashara, sasa wewe unaomba namba ili iweje labda ukutane na mdada cheap.
 
Maskini mie sina account [emoji24]
Shoga yangu Evelyn Salt napitwa na gari la mshahara hivi hivi kimasihara
Dah! Hii ya hela za kwenye simu wavulana ndio wanaweza. Ngoja nione mbadala maana li moyo limekudondokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…