Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Toa muongozo, mashangazi yaanzia umri gani?

Sisi tunaotumia footswagen tupe mbinu zetu, nina miadi na mdada kesho, nikishuka kwa mwendokasi nifanyeje ili nisionekane mnyonge?
Mishangazi kuanzia 40's

Wa miguu ntakuja na mbinu zenu soon
 
Nasikia Kuna madam,mshangazi na jimama

Kwahyo tofaout zao ni ZIPI ,?
Madam kwangu ni mwanamke ambaye anajielewa na mwenye heshima zake

Mshangazi ni mwanamke ambaye age imeenda na huyu mara nyingi hamtegemei sana mwanaume kwakuwa naye anajiweza na anaweza kumsapoti mwanaume akimpenda lkn kwakuwa ni mwanamke lazima awe na mwanaume ambaye anaweza kujisimamia kwa kiasi fulani

Jimama hawa huwa wanawalea wanaume kwa kutimiziwa ashki zao za mapenzi,,ndo mara nyingi husimamia show kwa kila kitu
 
Na huyo unayemwita my asome hapa ajue mbinu unazozitumia juu yake mpaka huo umai ukatengenezwa🤣🤣
 
aisee hii SI ni sawa na kuji tekenya mwenyewe, Kisha ujione Ume furahi?.

Ya nini uji kute taita, akati kwenu jumba la udongo Ali sikika afande sele kwenye darubini.
Hapo sasa umefanikiwa kumvuta karibu huyo mushangazi alafu unashindwa kumuhudimia kuenenda na beats za JF zilizomvutia kwako in real life.😆
Why pretending?
Hakuna wakati mgumu kwa mwanaume kuombwa hela uliyomuahidi jimama wako alafu huna🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…