jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kuna midume inatumia id za kike,mleta mana naona anahatarisha mkundugu wake,umeshindwa kutongoz wanawake mtaani au social medias zenye real ids unakuja kutongoza huku kwa anonymous.?utakua hujielewiUnawatega watu ambao huwajui, hii ni sawa na kudeki bahari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipate shida kumuinamisha, unaweza kumbeba kirahisi tu kurahisisha kazi yako
Yeye sio mshangazi bado hajafikia rika hilo,nimefall kwake naturally tu hata yeye anajua,,,ameshasoma tayarNa huyo unayemwita my asome hapa ajue mbinu unazozitumia juu yake mpaka huo umai ukatengenezwa🤣🤣
Oya faza..dingilade...unatufundisha nini watoto🧐🧐🥲Yeye sio mshangazi bado hajafikia rika hilo,nimefall kwake naturally tu hata yeye anajua,,,ameshasoma tayar
baby girl siku hizi smtm unakuwa gangstar sana ujue kumbe mchumba tu hahahaOya faza..dingilade...unatufundisha nini watoto🧐🧐🥲
Shangazi unaniangusha🤣Hao ni mashangazi njaa ndugu mleta mada..
Faza unafundisha wakweo kupata mashangazi ili wasifanye kazi eti....faza unazinguaaaa🧐🧐🧐baby girl siku hizi smtm unakuwa gangstar sana ujue kumbe mchumba tu hahaha
Hapana binti yangu kipenz,,,tunapeana ramani tuFaza unafundisha wakweo kupata mashangazi ili wasifanye kazi eti....faza unazinguaaaa🧐🧐🧐
Mm shangazi sibabaishwi... 🤣Shangazi unaniangusha🤣
Hizo ni mbinu za wadangaji...Hizi mbinu nikitaka nizitumie kwako sasa jamaa keshaniharibia tayari......