Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

fyddell na kudhibitisha kuwa huyo my sijatumia mbinu za kivita kumshawishi kama mashangazi,,,mara nyingi katika nyuzi zangu huwa nasema natumia daladala,,,cheki hii👇👇

 
Faza unafundisha wakweo kupata mashangazi ili wasifanye kazi eti....faza unazinguaaaa🧐🧐🧐
Hapana binti yangu kipenz,,,tunapeana ramani tu

Ila najua ur so smart baby girl usije kuingia mkenge na hizi mbinu,,,we ni binti yangu wa pekee hapa jf
 
Kwamba mashangazi tunapenda uongo na utapeli ??? Uko kale sana 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…