Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Vipi mawazo ya kimaisha kwa kujibanabana hakusababishi hivyo vidonda vya tumbo?
 
Inaonekana wewe ni mtu mwenye moyo wa shukrani na unajitahidi sana kulipa fadhili, hata hivyo lazima uangalie kesho yako itakavyokuwa. Usitarajie kila mtu yupo kama wewe na kwamba watakumbuka msaada wako
 
Mtoa mada ajamlenga Tajiri kamlenga aliye kwenye Huatling stage.
 
Vipi mawazo ya kimaisha kwa kujibanabana hakusababishi hivyo vidonda vya tumbo?
Mawazo ya kimaisha ni nini kila aliye timamu kiakili ana mawazo ya kimaisha unamaanisha nini ukisema mawazo ya kimaisha.
 
Mawazo ya kimaisha ni nini kila aliye timamu kiakili ana mawazo ya kimaisha unamaanisha nini ukisema mawazo ya kimaisha.
Nilimaanisha wingi/mrundikano wa mawazo/msongo wa mawazo ila si mawazo kama mawazo kikawaida.
 
kuna sehem kasema hali vizuri halali vizuri?wabongo bana..anakimbia machawa kama wewe hapo huchelewi ishia kula maisha kufa kwaja halafu unaagiza nusu kuku boss anakula chipsi kavu
hela yake matumizi mkuu
 
Nilimaanisha wingi/mrundikano wa mawazo/msongo wa mawazo ila si mawazo kama mawazo kikawaida.
Sijaelewa yaani uwo msongo wa mawazo umekujaje yaani una uhusiano gani na mimi kufanya Saving...Depression inatokana na kupatwa na tatizo au changamoto nashangaa yaani imekujaje.
 
Sijaelewa yaani uwo msongo wa mawazo umekujaje yaani una uhusiano gani na mimi kufanya Saving...Depression inatokana na kupatwa na tatizo au changamoto nashangaa yaani imekujaje.
Yani mtu una hela, usiitumie kadri uwezavyo sababu una malengo kwa mwaka au miaka kadhaa ijayo kisha usiwe na msongo wa mawazo, kabisa???

Onana na wataalamu watakusaidia mkuu jinsi msongo wa mawazo unavyosababisha vidonda vya tumbo.
 
Siku ukianguka na wenzio wakutreat hivyo hivyo usilalamike watu hawakupendi.
 
Yani mtu una hela, usiitumie kadri uwezavyo sababu una malengo kwa mwaka au miaka kadhaa ijayo kisha usiwe na msongo wa mawazo, kabisa???

Onana na wataalamu watakusaidia mkuu jinsi msongo wa mawazo unavyosababisha vidonda vya tumbo.
Duu nimechoka kuandika maisha mema
 
Madam naomba kuwa mlinzi wako binafsi .hamna hamna basi gate keeper km ikikupendeza
 
Ndio Hawa wanaosema Fred vunjabei anauza madawa, kisa tu maisha aliyonayo.
Juzi wakati anasaidi dili la jezi la bilioni 2 Kuna watu walikasirika Sana, povu likawatoka. Ooh anatoa wapi pesa, Mara 40 yake itafika tu.
Hawa ndio wabongo
Kuna jamaa ukitaja jina Fred VunjaBei utasikia "Nilisoma nae galanosi "
 
unajibana halafu unakufa unawaachia washenzi watumie mali zako
 
Marufuku mshahara wangu kukutana mfukoni[emoji1787][emoji1787]
 
Mabeki 3 hapana asee wanashika mimba kirahisi kama simbilisi. unamlala sku1 na mimba inaingia hapo hapo. na hakunaga beki 3 tasa.[emoji23][emoji23]
Hivi watu mnawaza nn mnapoandika[emoji1787][emoji1787]
Wanashika mimba km simbilisi[emoji1787][emoji1787]
 
Ukitaka kuruka ruka peke yako, ila ukitaka kuruka MBALI zaidi ruka na WENZAKO,
nakazia tu neno lako ulomjibu jamaa kuwa Wabongo hautujui
 
Huo ndio ukwel , mbinu ya utajili ni ubahili
 
Nilichojifunza mimi katika maisha,ubahiri nao unakuachia makovu mengi tu,ambayo ukiishakuwa tajiri yanakuwa hayafutiki,mfano watoto wanakuwa wamepata elimu duni,wamekua bila mlo kamili,n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…