Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Chuo wanaoana ni wachache sana.
 
Kujitakia 😅😅😅
 
Si unizalie mm tulee nyamwi
 
Dah!...sio poa kabisa
 
Hawa waliotoka bush na kuketwa mjina na chuo, bila chuo mji wangeliusikia tu. Hawa ndo wanadanganywa kirahisi na kujaa maana kila kitu kwao ni kipya.

Kama sio kuzaa basi wanafanya abortion hawa watoto.
Kumekuchaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…