Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Km wanaweza ku afford malezi kwa hao watoto pasipo shida, basi hakuna tatizo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machoziii, aaah
 
Sio kweli
Nimefundisha kwa kujitolea kuanzia 2020 mpaka 2023 ......
2020-2021 secondary shule za sekondary 3 na 2022-2023 shule za msingi mbili.

Na nilikuwa nafundisha table(Home) teaching ya kumfata mtoto nyumbani.

Hunidanganyi kitu kuhusu mazingira ya kayumba tena nimefundisha dar na kwa taarifa yako primary kuna ela za hapa na pale kuliko secondary.

Endelea kujidanganya na kuwadanganya watu.
 
Kwa mabinti au wanawake, matokeo yanaonekana mapema, ndo maana rahisi kuona hivyo.

Ila vijana na wanaume ndo wanaharibikaga mazimaaa.
Wanaharibika niini hao wanaume? Bangi pombe umalaya wizi au ugasho
 
Wrong heading haya maneno ndio yanayowafanya dada zetu/wadogo zetu/mama wadogo zetu wanajisikia vibaya sana wakijifungua kutokana na heading km hizi kuzalishwa,mpe heshima mzazi at least call it kujifungua mfanye anaemleta kiumbe hai nae aone thamani ya kujifungua msimfanye km hastahili kuishi dunia hii.
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…