Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pendelea kuchanganyia sasa na hizo mboga ulizozitaja hapo sasa mboga mboga ni muhimu sana katika miili yetuNyama na samaki samaki
Mlenda mboga nzuri sana ikiandaliwa katika mazingira safi ( unakula bila kinyaa).
Mchicha+ nyama au samaki na ugali, fresh kabisa.
Chinese cabbage ( sijui sukumawiki) sipendelei
Hapo Sawa mm mnyw cabbage, mrenda, dagaa, mashiri, na vitu vitamu sana stumii (mfano burger, piza, cake, soda za Aina zote,Zingine natumia ukiacha hizo nilizotaja
Mbogamboga ni nyingi sana unaweza Kila hata msusa
Chinese ilitumika kufifisha nyege kwa wachina ili wasizaane😂 ila bongo mnaona ndio mboga ya kufakamia kibwege.1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Uko vizuriHapo Sawa mm mnyw cabbage, mrenda, dagaa, mashiri, na vitu vitamu sana stumii (mfano burger, piza, cake, soda za Aina zote,
Yani mwili wangu unakinai vitu vichungu sana na vitamu sana ipo katikati no chumvi sana no sukari sana
BheWewe saguda Jina la nyumbani Ole tumbafu gashi ni bhole otolyaga Chinese na cabbage🤣Sasa vyakula hapo katikati lazima uwe vizuri financially
Yaya ghete nkoyi, abhise tulibhadimi bhang'ombe, mabhele gagwita nyanda😂😂Wewe saguda Jina la nyumbani Ole tumbafu gashi ni bhole otolyaga Chinese na cabbage🤣Sasa vyakula hapo katikati lazima uwe vizuri financially
😂😂😂😂😂😂😂Chinese ilitumika kufifisha nyege kwa wachina ili wasizaane😂 ila bongo mnaona ndio mboga ya kufakamia kibwege.