Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Wewe saguda Jina la nyumbani Ole tumbafu gashi ni bhole otolyaga Chinese na cabbage🤣Sasa vyakula hapo katikati lazima uwe vizuri financially
Mlenda mboga nzuri sana ikiandaliwa katika mazingira safi ( unakula bila kinyaa).

Mchicha+ nyama au samaki na ugali, fresh kabisa.

Chinese cabbage ( sijui sukumawiki) sipendelei
 
Hii kama unajitafta😂ni mboga nzuri sana ya Unga kilo moja mboga ya miatatu, karanga 200,kitunguu cha Mia, hoho ya Mia, nyanya mia(800tzsh unakula unashiba)hapo Unga kilo moja 2000 jumla 2800 plus mafuta ya kula 500, 3100 Yan Dolar moja na robo sijui rate ya Dolar moja sahv ni ngap kwa tz sh
Mbogamboga ni nyingi sana unaweza Kila hata msusa
 
Hapo Sawa mm mnyw cabbage, mrenda, dagaa, mashiri, na vitu vitamu sana stumii (mfano burger, piza, cake, soda za Aina zote,

Yani mwili wangu unakinai vitu vichungu sana na vitamu sana ipo katikati no chumvi sana no sukari sana
Uko vizuri
 
Wewe saguda Jina la nyumbani Ole tumbafu gashi ni bhole otolyaga Chinese na cabbage🤣Sasa vyakula hapo katikati lazima uwe vizuri financially
Bhe
Wewe saguda Jina la nyumbani Ole tumbafu gashi ni bhole otolyaga Chinese na cabbage🤣Sasa vyakula hapo katikati lazima uwe vizuri financially
Yaya ghete nkoyi, abhise tulibhadimi bhang'ombe, mabhele gagwita nyanda😂😂
Chinese ja tughosha twa Dar
 
Back
Top Bottom