Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Kwani unapoacha hela ya mega si unasema upikiwe nini au anaamua mamsapu cha kupika?
😂😂😂😂😂 Unajua hizo NYANYA CHUNGU sio kama inapikwa kwa kuwa uliacha pesa ndogo... Laaah ila unakuta kuna wadada wanapenda tuu sasa mi huwa na pdf yangu kabisa mlangoni...

Katika kanuni zangu sitaki hizo NYANYA CHUNGU akipika ni kesi kubwa mno
 
Wakati nalelewa nilikua sili kabeji,nyanya chungu,dagaa na vingine yani nilikua nachagua vyakula ila sasa hivi nakula mpaka mahindi ya kukaanga kwa hyo usijali life ndio linakuchagulia ulaje
Mahindi ya kukaanga si ndio mabisi hayo? 🤣🤣🤣
 
Bhe

Yaya ghete nkoyi, abhise tulibhadimi bhang'ombe, mabhele gagwita nyanda😂😂
Chinese ja tughosha tw

Bhe

Yaya ghete nkoyi, abhise tulibhadimi bhang'ombe, mabhele gagwita nyanda😂😂
Chinese ja tughosha twa Dar
🤣Kwamba sasa tughosha twa dsm😂Yaya father bas kwandya lelo naleke kloya chinese(kwa wasio elewa kuanzia Leo sili Chinese nawaachia wanaume wa dsm)
 
Back
Top Bottom