To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mkinga🤭🤣🤣🤭🙌Bhe
Yaya ghete nkoyi, abhise tulibhadimi bhang'ombe, mabhele gagwita nyanda😂😂
Chinese ja tughosha twa Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkinga🤭🤣🤣🤭🙌Bhe
Yaya ghete nkoyi, abhise tulibhadimi bhang'ombe, mabhele gagwita nyanda😂😂
Chinese ja tughosha twa Dar
Hata zikichanganywa na nyama au samaki na hivyo huwezi kula?😂😂😂😂😂 Unajua hizo NYANYA CHUNGU sio kama inapikwa kwa kuwa uliacha pesa ndogo... Laaah ila unakuta kuna wadada wanapenda tuu sasa mi huwa na pdf yangu kabisa mlangoni...
Katika kanuni zangu sitaki hizo NYANYA CHUNGU akipika ni kesi kubwa mno
Baba mchawi naz upate naz zako zikunwe na mtoto mbichi wa kidigo au kizaramo1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Sababu hujapata mtaalam, mpishi sahihi, wa kukupikia.Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Pata mpishi toka Tabora, Mrenda wa karanga, Acha kabisa2.Mlenda.
https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=amEKNoxCT6Y
Pata mapishi ya Pwani, Kwa tui la nazi. Utauliza mara mbili hivi mboga ipo au imesha?4.Dagaa
Niseme tu yale mapishi sikuyaelewa kabisa,, in short Sina experience kabisa na ile mboga.Hata zikichanganywa na nyama au samaki na hivyo huwezi kula?
😂Biringanya ❌ bomoaMabiringanya sijui yalitokeaga wapi .Yaani kama una unatafuna maboksi au godoro.Ukitaka kunilaza njaa pika mandizi hata uyarembe vipi hayana ladha kabisaa.Mwisho Tambi au maminyoo.
Faizafoxy ni mwanaume juzi kaja PM kanitia mikwara sana kumbe ile avatar ni ya mama yakeUngekuwa ke ningesema utakuwa unateleza balaa lkn kwa sababu me sijui nisemeje FaizaFoxy asaidie kiswahili!
Yaani mi sitaki NYANYACHUNGU toka nimezaliwa huwa wakipika naanzisha fujo hata nyumbani wanajua hilo...Hata zikichanganywa na nyama au samaki na hivyo huwezi kula?
Muha halafu hupendi dagaaDagaa hivi vidudu wangeviacha tu kwenye maji havifai kuliwa
Hata mimi nilikuwa hivyo nilikuwa sili biringanya,mchicha,dagaa na kachumbari ila nilipopitia magumu nikaamua kwenda mgodini motipwez nilijikuta navipenda mno hivyo vyakulaWakati nalelewa nilikua sili kabeji,nyanya chungu,dagaa na vingine yani nilikua nachagua vyakula ila sasa hivi nakula mpaka mahindi ya kukaanga kwa hyo usijali life ndio linakuchagulia ulaje
Sivipendi kabisa naonaga kama ni viwadudu fulani, mi napenda samaki tu naweza kula hata Wiki mzima bila shida yoyote.Muha halafu hupendi dagaa
Na kuna yale madagaa fulani makubwa yana Miiba kama samaki Yani yale ndo huwa sitaki hata kuyaona....kama nikiwa ugenini ukitaka kunifukuza we nipikie tu yale madude yani ukinipa mchana..jioni nakuaga naondoka zangu hutokuwa na haja hata ya kunifukuza.Muha halafu hupendi dagaa
Hao watoto wakiume wenyewe siku iz tunaogopa kuwazaa maana wanabadilika kama vinyongaWapeni watoto wenu wa kiume tu kisha mje kushangaa jinsi wanavyohaha kutungisha mimba😂...
Sahizi kupata watoto wa kiume tu ishakuwa ishu yani. Unashangaa wewe na wadogo zako wote kila uzazi anazaliwa demu tu. Ipo siku watu wataongea kuhusu hili nahisi ipo shida mahala.
Ajipikie mwenyewe tu au na hio pia kesi?😂😂😂😂😂 Unajua hizo NYANYA CHUNGU sio kama inapikwa kwa kuwa uliacha pesa ndogo... Laaah ila unakuta kuna wadada wanapenda tuu sasa mi huwa na pdf yangu kabisa mlangoni...
Katika kanuni zangu sitaki hizo NYANYA CHUNGU akipika ni kesi kubwa mno
PoleDagaa hazipandi kabsa Tena zikipoa ndo kabsa nina ulcers ya chini
Nilikuwa Mbeya mwaka jana,, kuna mboga nililishwa wanaita sijui Figili,, haloo ni vile tu nilikuwa ugenini niliamua kuvunga lakini ile mboga hapana haifai kwa matumizi ya binadamu 😑
Kwa namna ile mboga inayofanana nakubali kabisa kuliwa kama lettuce,, the way ilivyo ungwa that day ilinifanya nipate taste moja Mbaya sana 😣Sasa figili hio si inaliwa bila kupikwa!? Km lettuce
Mabiringanya sijui yalitokeaga wapi .Yaani kama una unatafuna maboksi au godoro.Ukitaka kunilaza njaa pika mandizi hata uyarembe vipi hayana ladha kabisaa.Mwisho Tambi au maminyoo.