Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Wakati nalelewa nilikua sili kabeji,nyanya chungu,dagaa na vingine yani nilikua nachagua vyakula ila sasa hivi nakula mpaka mahindi ya kukaanga kwa hyo usijali life ndio linakuchagulia ulaje
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wapeni watoto wenu wa kiume tu kisha mje kushangaa jinsi wanavyohaha kutungisha mimba๐Ÿ˜‚...

Sahizi kupata watoto wa kiume tu ishakuwa ishu yani. Unashangaa wewe na wadogo zako wote kila uzazi anazaliwa demu tu. Ipo siku watu wataongea kuhusu hili nahisi ipo shida mahala.
 
Ibarikiwe hii mboga na aliye igundua heri zote njema ziwe kwake
20240920_131159.jpg
 
Back
Top Bottom