Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

[emoji16][emoji16][emoji16] noma sana...ila ndio wazuri bwana sio wasumbufu...unaweza kutoka kazini ukapita zako baa kupiga maji bila hofu maana unajua hata usipokuwepo watu watakula tu
eti unashukuru ili ukitoka kazini upitie wapi?

asee ule huko huko hili nilichopika tutakula na wanangu tu.
 
nmekwelewa sana mkuu. japo haya mayai ya kisasa yana madawa sana asee mm siyapendi. nkimaliza kusoma hii thread nategemea nitaanza kupenda kupika mana spend kupika asee.!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16] noma sana...ila ndio wazuri bwana sio wasumbufu...unaweza kutoka kazini ukapita zako baa kupiga maji bila hofu maana unajua hata usipokuwepo watu watakula tu
Haha...
Nikajua ukipitia kwenye maombi ya jioni, Khantwe bwaaana.!
 
Nikila dagaa wa kukaanga nasikia kichefucuefu mboga yangu Bora ya muda wote ni maini roast na ugali.


Maini nayo siyo ya kula mara kwa mara kwa mtu mwenye kujali afya yake.

Ini la mnyama ndipo chujio na sumu za mnyama huishia.
Ndiyo maana kwa nchi zilizoendelea nyama za ndani huuzwa bei ya kutupwa isipokuwa huku bongo ambapo uelewa wa jamii kuhusu maswala ya lishe salama upo chini sana na watu hawana utayari wakujifunza na kukubali kubadili tabia.
 
eti unashukuru ili ukitoka kazini upitie wapi?

asee ule huko huko hili nilichopika tutakula na wanangu tu.
Haina tabu...cha muhimu ni kuwa hautanikera na simu za kila baada ya dakika mbili kuniuliza niko wapi
 
Nawazaga Kama wewe. Yaani nikika maini nakuwa na wasi wasi sana
 
hv hz pilau masala si zina preservatives?? huon kwamba jins unavoweka viungo vingi ndo utakuwa unakula sumu nyng sana ? mfano preservatives kwny masala,kwny mtindi, nyanya enyewe inapigwa sana dawa huko shamban....how do yu ensure that ur body get natural food?
 
Nikila dagaa wa kukaanga nasikia kichefucuefu mboga yangu Bora ya muda wote ni maini roast na ugali.
hicho kichefu chefu ni mara moja au mara zote ulizojaribu kula?

ni sehemu 1 au ni sehemu tofauti tofauti,mara nyingi kichefu chefu

inaweza sababshwa na mafuta yaliyotumika pikia hao dagaa ndio sababu..
 
Nawaogopa sana wanaume ambao they can take a good care of themselves, wengi huchelewa kuoa ama wasioe kabisa..
Imagine juzi job kuna wakaka tulikuwa tunabishana nao bei ya nyanya sado..! πŸ˜‚ πŸ˜‚
ni raha sana najua wajua na najua vile unapenda pia πŸ˜‚
 
mkuu pilau masala si unatengeneza wewe mwenyewe? unanunua viungo unasaga.
 
Wanaume wengi wa kibongo hawanaga mazoea ya kujipikilisha wapo ila ni wachache kutokana na mifumo ya malezi isiyo sahihi ya kuzani mtoto wa kiume hatakiwi kuwa mazoea na jikoni kumbe siyo sahihi hata kidogo.

Wanaume wengi wa kibongo wakishapata exposure kwa kwenda kusoma au kufanya kazi nje ya nchi ndipo hujifunza na kuona wanaume wenzao wakijipikisha wenyewe kwa wepesi nao wanaona kumbe Mwanaume kupika ni jambo la kawaida na la kutokulionea aibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…