Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Siku wakiamua kufanya!!Hivi CHADEMA wanafanya uchaguzi mkuu lini maana mwaka huo unayoyoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku wakiamua kufanya!!Hivi CHADEMA wanafanya uchaguzi mkuu lini maana mwaka huo unayoyoma!
Wanasubiri mialiko ikulu....Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa??
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Wengine wanasubiri Mgalatia akiwapangaji Magogoni.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa??
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Wengine kina nani sasa! Hao mamluki? They have been compromised !Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa??
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Vyama vingine ni Mawakala wa CCM, Remote control zao Ipo Lumumba, wanasubiri mambo malaini kama vikao vya msajili na taskforce. Hii ya kutishiwa mara uhaini na uchochezi hawawezi.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Marufuku kuongea ongea wakati wa kula!!! Ishi humo mzee 🤣🤣🤣Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Sio rahisi maana mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola tu.Sisi CCM tujifunze kujenga Hoja ..zenye convincingly power.
Akishaongea mama ni kama wameongea wao.Sasa ACT itaongea nini?
Ndio chama chene heshima kwa wananchi.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
HeheheUnatakiwa uwe na la kuwaambia wananchi, sasa akina ZZK watasema nini kwenye mikutano zaidi ya kuipongeza serikali.
SahihiChadema kuendelea kusimama majukwaani ni uimara wa UONGOZI MAHIRI WA CHAMA,
Viongozi wenye akili ya kupanga bajeti ya ruzuku kufikia wananchi wote kuhutubia, kuelimisha, kukemea na kusanua madudu hadharani
Naunga mkono hojaCHADEMA Ina Vijana Smart sana, tuweni tu wakweli
Pamoja na kuwa na pesa nyingi lakini wapi. Ile sped ya ,mbowe na Tundu inahitaji pumzi.CCM wenyewe wamejaribu pumzi imekata mapemaaaa! Sio Chatanda Wala Ritz
Mkuu swali gum sanaTanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?