Mbona CHADEMA wanafanya Siasa peke yao. Wengine wapo wapi?

Mbona CHADEMA wanafanya Siasa peke yao. Wengine wapo wapi?

Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.

Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?

Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Matawi ya CCM.
Zito msaliti na mdini kupitiliza. la Bandari kimyaaaa as if hakuna kitu kibaya kinatendwa na serikali
1693350067554.png
 
Vyama (Vikundi) vya CCM vya kuthibitisha (justification) ya multipart system and democracy katika nchi yetu - hivyo vimetulia vikisubiri 2025.
 
Kuna chama kinaitwa ACT, chenyewe kinafanya siasa za kutaka kusifiwa na CCM. Wenyewe huwa wanasema wanafanya siasa za masuala, lakini ukiwatazama kwa undani ni kama wanafanya siasa za kuwaridhisha CCM. Wakati CDM hawajaanza mikutano, wao walikuwa wanapitapita sehemu mbalimbali wakisema wanafanya siasa mbadala, lakini toka CDM walipoanza na wao kuona bado CDM ina wafuasi wengi, wamepoteza furaha maana wanaona CCM inataabishwa.

Hivyo vyama vingine viko kimya vinasuburi wakati wa uchaguzi kutumiwa na CCM, na wengine huwa wanakuja na utapeli kuwa vyama vya upinzani viunganishe nguvu ili kuitoa CCM. Na CDM wakigoma utasikia wanailaumu CDM eti haitaki kuunganisha nguvu na vyama vingine vya upinzani ili kuitoa CCM! Kibaya zaidi CDM ikikosea ikakubali kuungana navyo wanaanza kutumiwa na CCM ili kuvuruga upinzani.
WE JAMAA BHANA! Una akili sana...hongera kwa familia yako na wanaokuzunguka
 
'CDM Wanafanya Siasa Peke Yao'....!

Unao Uhakika na Sentensi yako...?

Kwani Wanafanyia Wapi..?

Nimeenda Ufipa kuhakikisha nimekuta Pamepoa kimyaa..!

Wako wapi.?

Huwa tunachoka na propaganda ndio mana tunaishia kusema mambo yao Wanafanyia nyuma ya Keyboard...!

Ukisikia Maandamano, Ujue Nyuma ya Keyboard.... Watu wanaandamana kwa Vidole...Achana na CDM!!
Rudia kusoma ulichoandika mkuu, hujataja chama hata kiomoja kinachofanya siasa kwa sasa.Kitaje basi hicho chama tukijue, mada inataka hivyo.
 
ACT wako kwenye serikali ya umoja wa kitaifa
 
Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.

Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?

Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Shida iko wapi! Ni wanani zaidi unaowahitaji. Hakuna Chama zaidi unaowadhania ni majina tuu.
 
Back
Top Bottom