Mbona CHADEMA wanafanya Siasa peke yao. Wengine wapo wapi?

Mbona CHADEMA wanafanya Siasa peke yao. Wengine wapo wapi?

Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.

Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?

Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Wapo mezani na 'Wafalme'.
 
Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.

Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?

Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Wengine wapo likizo.
 
Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.

Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?

Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Chadema ipi tena! Si CCM walituambia imekwisha kufa.
 
Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.

Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?

Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Mkutano moja wa ccm unagharimu pesa nyingi sana kusomba watu kutoka mikoa jirani kuwalipa pesa za kuachia familia zao,kuwanunulia chakula na kujikimu,wateweza wapi
 
Back
Top Bottom