Matawi ya CCM.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Bahati mbaya hakuna mwenye pumzi, ACT niliwakuta Kasulu siku moja na NDIO mkutano wao uliishia pale palePamoja na kuwa na pesa nyingi lakini wapi. Ile sped ya ,mbowe na Tundu inahitaji pumzi.
Mama AbdulAkishaongea mama ni kama wameongea wao.
WE JAMAA BHANA! Una akili sana...hongera kwa familia yako na wanaokuzungukaKuna chama kinaitwa ACT, chenyewe kinafanya siasa za kutaka kusifiwa na CCM. Wenyewe huwa wanasema wanafanya siasa za masuala, lakini ukiwatazama kwa undani ni kama wanafanya siasa za kuwaridhisha CCM. Wakati CDM hawajaanza mikutano, wao walikuwa wanapitapita sehemu mbalimbali wakisema wanafanya siasa mbadala, lakini toka CDM walipoanza na wao kuona bado CDM ina wafuasi wengi, wamepoteza furaha maana wanaona CCM inataabishwa.
Hivyo vyama vingine viko kimya vinasuburi wakati wa uchaguzi kutumiwa na CCM, na wengine huwa wanakuja na utapeli kuwa vyama vya upinzani viunganishe nguvu ili kuitoa CCM. Na CDM wakigoma utasikia wanailaumu CDM eti haitaki kuunganisha nguvu na vyama vingine vya upinzani ili kuitoa CCM! Kibaya zaidi CDM ikikosea ikakubali kuungana navyo wanaanza kutumiwa na CCM ili kuvuruga upinzani.
Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Wanasubiri kupewa hela na ccm wakati wa uchaguzi na ccm haiwezi kutoa hela muda wote.Wengine wanavizia magepu muda wa uchaguzi.
Rudia kusoma ulichoandika mkuu, hujataja chama hata kiomoja kinachofanya siasa kwa sasa.Kitaje basi hicho chama tukijue, mada inataka hivyo.'CDM Wanafanya Siasa Peke Yao'....!
Unao Uhakika na Sentensi yako...?
Kwani Wanafanyia Wapi..?
Nimeenda Ufipa kuhakikisha nimekuta Pamepoa kimyaa..!
Wako wapi.?
Huwa tunachoka na propaganda ndio mana tunaishia kusema mambo yao Wanafanyia nyuma ya Keyboard...!
Ukisikia Maandamano, Ujue Nyuma ya Keyboard.... Watu wanaandamana kwa Vidole...Achana na CDM!!
Baada ya kukuona au?Bahati mbaya hakuna mwenye pumzi, ACT niliwakuta Kasulu siku moja na NDIO mkutano wao uliishia pale pale
Ebu onesha kitu gani hao vijana smart sana wamefanya hapa Tanzania.CHADEMA Ina Vijana Smart sana, tuweni tu wakweli
Andika kiswahili, unaçhokimudu.Sisi CCM tujifunze kujenga Hoja ..zenye convincingly power.
Kitu kama nini unachotaka kuoneshwa?Ebu onesha kitu gani hao vijana smart sana wamefanya hapa Tanzania.
Muulize DC na Mkurugenzi wa huko Kusini walichofanywa na Mama AbdulEbu onesha kitu gani hao vijana smart sana wamefanya hapa Tanzania.
Nimecheka sana. Kuna watu kama Mzee Cheyo, Dovutwa, Zitto nk wakipewa mwaliko Ikulu utawakuta pale hata milango kabla haijafunguliwa. Wakiingia eti wanakuwa makini na hotuba huku wakichukua notes!Wanasubiri mialiko ikulu....
Shida iko wapi! Ni wanani zaidi unaowahitaji. Hakuna Chama zaidi unaowadhania ni majina tuu.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Jibu la ukweliWengine wanavizia magepu muda wa uchaguzi.