Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Ndege tunduni
 
Ungewauliza, hivi kupendeza kote huku huwa munatumia mkologo wa aina gani? Jibu Lao ndio lingethibitisha Kama ni natural beauty au hiyo mikologo yao..
 
Hapo hujaenda Makumbusho jioni pale, ndo utazidi kusifu uumbaji wa Mungu. Ila kaa nao mbali, huo mji hakuna ambaye hana stress, utaingia kwenye mambo mazito, haha.
 
Dar hatari sana naupa namba 1 .Toto kali kila kona.Huku nilipo hamma kitu , unakuta mtoto mzuri mzuri ila miguu imepauka,mengine meusii yanaongezea na mavilemba juu .Shenzi taipu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tafuta m1 afu mtengenezee awe km wee unavotakaa.
 
Arusha ya kawaida sana.. Pisi za kawaida mnoo..

Dsm aisee kuna ukanda wa kuanzia Ubungo sogea Mcity mpaka Mwenge.. alafu shuka na ITV, Bamaga mpk Makumbusho.. rudi Sinza.

Huo ukanda achana nao... kuna stendi mbili MWENGE na MAKUMBUSHO kama una shingo ndefu unaweza izungusha 360°.. Dar kuna Pisi Tz nzima inakusanyika hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maeneo hayo wengi ni wanachuo.
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Acha ushamba hao sio wazuri sema wanajipodoa sana ila komaa nao watafune izo pesa ulizo uza mazao zikiisha utapata akili
 
Back
Top Bottom