Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege tunduniDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Hivi bado mnaendaga juliana..? HahaMzeee naomba namba yako nikupeleke viwanja vyenye mademu hao n Wachache hata kwa juliana
Dar wanaume wanaweza jibana kwenye kula ila sio kwenye pombe na wanawake wanaweza jibana kwenye kula ila sio kwenye maswala ya kupendeza. Ukiwa Dar ndo unaelewa waliosema Umaridadi unaficha umaskini.Ila dar kuna totoz nyie acheni kabisa....vijana huko wasipoje ga siwalaumu kabisa
Em sema kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli umeumbika ... mtanifilisi nyie warembo wa Dar
Ni kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa anasema wewe ni mrembo ambaye unamfilisi sana mkuu...
Hayo madai ni ya kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3030488wakuu bado nipo kituoni hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tafuta m1 afu mtengenezee awe km wee unavotakaa.Dar hatari sana naupa namba 1 .Toto kali kila kona.Huku nilipo hamma kitu , unakuta mtoto mzuri mzuri ila miguu imepauka,mengine meusii yanaongezea na mavilemba juu .Shenzi taipu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maeneo hayo wengi ni wanachuo.Arusha ya kawaida sana.. Pisi za kawaida mnoo..
Dsm aisee kuna ukanda wa kuanzia Ubungo sogea Mcity mpaka Mwenge.. alafu shuka na ITV, Bamaga mpk Makumbusho.. rudi Sinza.
Huo ukanda achana nao... kuna stendi mbili MWENGE na MAKUMBUSHO kama una shingo ndefu unaweza izungusha 360°.. Dar kuna Pisi Tz nzima inakusanyika hapo.
Mm cjui n kwann naonaga uswahilini ndio kuna pisi kali kuliko ushuani ila tatizo tuu wana mambo mengiToka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,
Kisha njoo uedit uzi wako.
Half cast koko una heka heka weyeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walivyo wazuri utadhani hawana gono [emoji28]
Acha ushamba hao sio wazuri sema wanajipodoa sana ila komaa nao watafune izo pesa ulizo uza mazao zikiisha utapata akiliDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Nasimama na ukweli, wazuri wa sura, tabia aah😂Half cast koko una heka heka weyeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekuwa bangi unaishi Arusha?Ngoja na Mm nitafute lishangazi la Dar nije aniweke ndani afu nianze kutembea huko Dar mana nimekaa sana huku Arusha sasa n muda wa kutoka sasa.
Ahahaha daah sizaniNi kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana midomo sana ila kwa uzuri wapo vizuriMm cjui n kwann naonaga uswahilini ndio kuna pisi kali kuliko ushuani ila tatizo tuu wana mambo mengi