Mbona DJ Khalid hajazingumza chochote kuhusu vita ya Palestine licha ya yeye kuwa Mpalestina

Mbona DJ Khalid hajazingumza chochote kuhusu vita ya Palestine licha ya yeye kuwa Mpalestina

Hamuwachukii wayahudi wakati nyinyi ndo mmewatesa wayahudi na kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi?

Ukrisito ni amani wakati ndo wenye rekodi ya kufanya mauaji na maangamizi makubwa hapa duniani.
Hitler aliua 6M, wacha kuwapa watu lawama
 
Hamuwachukii wayahudi wakati nyinyi ndo mmewatesa wayahudi na kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi?

Ukrisito ni amani wakati ndo wenye rekodi ya kufanya mauaji na maangamizi makubwa hapa duniani.
najua unawaza crusade/vita vya msalaba karne nyingi zilizopita, kwa sasa ni wapi maangamizi yamefanywa?
 
Kwa sasa kama ni Mkimbizi kutokea nchi za Kiislam, unapewa hifadhi na hadhi ya ukimbizi nchi za Canada, Marekani, Ulaya na Scandinavia
 
najua unawaza crusade/vita vya msalaba karne nyingi zilizopita, kwa sasa ni wapi maangamizi yamefanywa?
Asilimia 80, ya mauaji ambayo yalisha kufanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakiristo.
 
Kwa sasa kama ni Mkimbizi kutokea nchi za Kiislam, unapewa hifadhi na hadhi ya ukimbizi nchi za Canada, Marekani, Ulaya na Scandinavia
Hao sio wakimbizi ni wahamiaji hasa wa kiuchumi na kila nchi ina wahamiaji ya kiuchumi hata nchini kwetu wamejaa pamoja na umasikini wa nchi yetu.
 
Wajerumani na ukatoliki wapi na wapi?
Sasa ww usiye juwa kuwa Hitra alikuwa mkatoliki tukusaidieje?
Tena kuna nyaraka zilivuja mwaka jana zinazo onesha kuwa papa wa wakati ule alikuwa anajua mpango wa Hitra kuwaangamiza Wayahudi lakini akakausha.
 
Ndio maana nimesema ualimu wako umeupata kimagumashi , yaani pamoja na ualimu wako umeshindwa hata kuingia kwenye mtandao wa shirika la wakimbizi duniani ukasach ukaona ni nchi gani zinazo wahifadhi wakimbizi wengi duniani?

Nchi zinazo ongoza kwa kuwahifadhi wakimbizi kutoka mashariki ya kati kwa mujibu wa shirika la wakimbizi duniani

(1)Iran
(2) Uturuki
(3) Pakistan
(4)Jordan
(5) Ujerumani
(6) Lebanon
Hizo ndo nchi zenye wakimbizi wengi kutoka mashariki ya kati ukiitoa Ujerumani nchi nyingine zote zilizo baki ni nchi za waislam.

Alafu ngoja ni kuelimishe unacho takiwa ni kutofautisha mkimbizi na muhamiaji, mkimbizi ni mtu aliye kimbia vita na kwenda kutafuta sehemu salama na vita ikiisha wanarudi nyumbani kwao .
Mhamiaji ni mtu anaye toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa sababu za kikazi,kibiasha,kimakazi,kimasomo,kiuchumi nadhani hao ndo unao usema.

Suala la uhamiaji barani Ulaya linatiwa chumvi na vyombo vya habari vya kimagharibi kwa ajili ya kuionesha na kuaminisha watu wajinga kama ww kuwa mataifa yao ni bora , lakini kiuhalisia wahamiaji wa kiuchumi wako kila nchi hapa duniani hata hapa Tz pamoja na usikini wake lakini wapo malaki ya watu kutoka mataifa mengine wameamia tz kwa sababu nilizo zitaja hapo.
Ukienda Kenya,Uganda , Somalia,nk ni razima utakuta raia kibao wa nchi nyingine wakiishi na kupiga mishe.

Ukienda UAE na Qtaar, Oman,Saudia kuna mamilioni ya raia kutoka nchi nyingine kwa sababu nilizo zitaja hapo juu.

Hakuna nchi hapa duniani isiyo kuwa na wahamiaji ila uhamiaji barani Ulaya unakuzwa na vyombo vya habari kwa misingi ya propaganda na kupenda kujikweza kwa wazungu .
Wewe ni mpuuzi
 
Sasa ww usiye juwa kuwa Hitra alikuwa mkatoliki tukusaidieje?
Tena kuna nyaraka zilivuja mwaka jana zinazo onesha kuwa papa wa wakati ule alikuwa anajua mpango wa Hitra kuwaangamiza Wayahudi lakini akakausha.
Kijana Hitler alikuwa mkatoliki wakati analelewa nyumbani, alipokuwa kijana na kuweza kufanya maamuzi yake , ukatoliki aliona ni upumbavu na ni mambo ya wazee, ndio maana alitaka amalizane na wayahudi , kisha aje asafishe hiyo dini
 
Asilimia 80, ya mauaji ambayo yalisha kufanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakiristo.
Je akitokea mtu currently akakuuliza ndani ndani ya miaka 25 (25 years,1998-2023) vifo vingi vyenye mrengo wa kidini vimesababishwa na nini utaweza kumpa jibu sahihi?

Labda miaka hiyo hao Wakristo walikuwa hawajajitambua vipi leo kina nani hawajitambui kama walivyokuwa wao wanaosababisha dunia isikalike?
 
Kijana Hitler alikuwa mkatoliki wakati analelewa nyumbani, alipokuwa kijana na kuweza kufanya maamuzi yake , ukatoliki aliona ni upumbavu na ni mambo ya wazee, ndio maana alitaka amalizane na wayahudi , kisha aje asafishe hiyo dini
Mkuu acha ubishi usio na maana Hitra alikuwa mkatoliki na alikuwa rafiki mkubwa wa tu wa papa.
 
Mkuu acha ubishi usio na maana Hitra alikuwa mkatoliki na alikuwa rafiki mkubwa wa tu wa papa.
1C42675E-8F57-4CBF-BC0E-DA3FB22A43ED.jpeg
 
Asilimia 80, ya mauaji ambayo yalisha kufanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakiristo.
unazungumzia enzi za karne nyingi zilizopita hata uislam haujaja, enzi za mfalme constantine na hata kabla yake
 
Je akitokea mtu currently akakuuliza ndani ndani ya miaka 25 (25 years,1998-2023) vifo vingi vyenye mrengo wa kidini vimesababishwa na nini utaweza kumpa jibu sahihi?

Labda miaka hiyo hao Wakristo walikuwa hawajajitambua vipi leo kina nani hawajitambui kama walivyokuwa wao wanaosababisha dunia isikalike?
Dunia kama haikaliki ww sasa hivi unakaa dunia ipi?
Kwani aliye fanya mpaka leo Hii Iraq ,Libya, Afghanistan,Syria, Congo zisikalike si ni Marekani na washirika wake ambao ni wakristo wenzio?

Kwann huja wahi kujiuliza kuwa kwann hayo makundi ya akina boko haramu yameibuka miaka 20 iliyo pita na kwann haya kuwepo huko nyuma?

Vipi kuhusu mauaji ya kimbali nchini Rwanda ambapo kanisa katoriki mshriki mkubwa wa mauaji hayo?

Migogoro iliyo sababisha vifo vingi tangu 1998 mpaka mwaka huu ni vita ya Ugosravia,Syria,Iraq, Afghanistan, vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini, Sudan kaskazini, Sudan kusini , Ethiopia, Somalia,Searalion ,vita ya Ukraine na Urusi inayo endelea mpaka sasa na vita ya gaza inayo endela.

Hiyo migogoro yote nilio itaja wahusika wakubwa wa migogoro hiyo ni wamagharibi ambao ni wakristo wenzio.

Na mauaji hayo yote yanatokana na tabia zenu za uporaji na unyonyaji.
 
Uturuki ndio nchi yenye idadi kubwa ya wakimbizi duniani, kisha Ujerumani, Pakistan, Uganda na tano ni Urusi, acha maneno ya kuokoteza
ielewemitaa, post: 48955545, member: 196442unakurupuka, hatuongelei wakimbizi tunaongelea wahamiaji
 
unazungumzia enzi za karne nyingi zilizopita hata uislam haujaja, enzi za mfalme constantine na hata kabla yake
Kumbe mauaji ya mamilioni ya watu yaliyo tokea kwenye vita ya 1 na 2 dunia haya kufanywa na Wakristo?
Kumbe Musorni aliye uwa mamilioni ya watu hakuwa mkirsito?
Kumbe Hitra aliye uwa mamilioni ya watu hakuwa mkirsito?
Kumbe Marekani ambaye ameuwa mamilioni ya watu nchi, Vietnam ,Korea, Afghanistan,Iraq,Libya sio wakristo?

Kumbe walio fanya mauaji ya kimbali nchini Rwanda sio wakristo?

Kumbe Urusi na Ukraine wanao pigana na kusababisha vifo vya malaki ta watu sio wakristo?
 
ielewemitaa, post: 48955545, member: 196442unakurupuka, hatuongelei wakimbizi tunaongelea wahamiaji
Sasa hapa duniani kuna nchi isiyo kuwa na wahamiaji hapa duniani?
 
Back
Top Bottom