Mbona DJ Khalid hajazingumza chochote kuhusu vita ya Palestine licha ya yeye kuwa Mpalestina

Wayahudi wameishi ndani ya dola ya ottoman kwa zaidi ya miaka 800 bila ya kibughudhiwa. Nenda kasome mauaji ya wayahudi yaliyofanywa na wakristo huko ureno na spain
 
Wakristo wanatukuza sana hawa Wayahudi sijui wananini cha zaidi
Ww usiewatukuza una nini cha zaidi. Ukiona watu wananafasi kubwa kwenye dunia jua wana kitu kwann marekani haiwatukuzi waarabu unahisi inawachukia sana? Mwenye faida huwekwa kipaumbele
 
Pale marekani kuna wapalestina wapatao 255,500 tu.
Umemuona dj khaleed tu.
Leave that. Kuna vitu unatakiwa uheshimu sana katika maamuzi. Si kila mtu ana imani na kila kinachotokea. Kunyamaza ni jibu la mjinga. Acha akae. Kimya. Kuacha na vyte. Huyo khaleed. Anasakwa sasaiv unataka aongee nn. Unataka apotezwe. Skendo tu iliyokuwepo toka mwaka jana august ya diddy na genge la uhuni. Linataka kumtafuna. Muache huyu bwana atulie.
 
Well story yako mybe wrong mahali. Hitler hakuwah kuwa na mpango wa kuja ku deal na catholic church.

Alijitenga nao yes, but alibaki ultra-nationalish na pan -germanic . Akiamini german race is the superior race and should rule the world.
 
Kuna aliye rogwa zaidi ya nyinyi warokole mnao furahia damu za watoto kumwagika na unaye ona Wayahudi ni bora kuliko maelfu ya wakristo wenzio wa kipalestina wanao pitia mateso?

Warokole hamnaga akili ndio maana wachungaji huwa wanalia wake zenu kwa sababu nyinyi ni wapumbavu, yaani hela zenu wanawalia na bado na wake zenu wanawalia.
 
naona unaleta utani. Hakuna mkristo anayefurahia binadamu kufa kama hao watu. We unaona uchungu kwa wapalestina huoni uchungu kwa waisrael. Kuhusu wachungaji kula wake zetu hapo umechapia, hakuna mchungaji anayekula mke wa mtu. Unazungumzia wahuni ambao wapo hata kwenye dini yako huoni kuwa umelogwa wewe? Mbona unayumbayumba kwenye hoja? Tulia nikupe kifinyo cha hoja
 
Hebu tutajie nchi zinazo ongoza kuwahifadhi wakimbizi kutoka mashariki ya kati ili tuone kama ni kweli watu wanapenda kukimbilia ulaya.

Kanye west juzi kaomba msamaha kwa wayahudi ssbabu ya album yake mpya hii .Uchumi wa Marekani na Ulaya umeshikiliwa na hawa watu ni toka zamani ukweli mchungu ila lazima usemwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…