Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Wayahudi wameishi ndani ya dola ya ottoman kwa zaidi ya miaka 800 bila ya kibughudhiwa. Nenda kasome mauaji ya wayahudi yaliyofanywa na wakristo huko ureno na spainHiyo Morocco na Tunisia sio mali za waislam... Hizo zilikuwa ardhi za Waafrika wa jamii ya Berber.... Hao waarabu wa huko Morocco unaowanasibu na kusema ni ardhi ya uislamu, hao ni wavamizi tu waliokuwa wanahama kutoka uarabuni kupitia misri na kuingia Afrika.
Mbona hauzungumzii Ottoman Empire na mauaji ya wayahudi
Ww usiewatukuza una nini cha zaidi. Ukiona watu wananafasi kubwa kwenye dunia jua wana kitu kwann marekani haiwatukuzi waarabu unahisi inawachukia sana? Mwenye faida huwekwa kipaumbeleWakristo wanatukuza sana hawa Wayahudi sijui wananini cha zaidi
Natamani kumuona aliekwenda urusi kimasomo au kikazi akarudi salamaUturuki ndio nchi yenye idadi kubwa ya wakimbizi duniani, kisha Ujerumani, Pakistan, Uganda na tano ni Urusi, acha maneno ya kuokoteza
Kuna aliye rogwa zaidi ya nyinyi warokole mnao furahia damu za watoto kumwagika na unaye ona Wayahudi ni bora kuliko maelfu ya wakristo wenzio wa kipalestina wanao pitia mateso?mpaka wale njiti walivyagiliwa! Usiilaumu israel laumu ndugu zako katika imani ndiyo walisababisha haya madhila kwa wapelestina wasiokuwa na hatia. Vita ni mbaya sana haijui cha mtoto wala mzee. Tatizo nyie wa imani yenu hiyo sijui nani kawaloga msiwe na fikra
Ayatollah wa Iran alikuwa anakaa Paris kama mkimbizi kabla ya kurudi Iranhuoni ufaransa, ujerumani, uingereza, sweden, uholanzi, canada na marekani?
naona unaleta utani. Hakuna mkristo anayefurahia binadamu kufa kama hao watu. We unaona uchungu kwa wapalestina huoni uchungu kwa waisrael. Kuhusu wachungaji kula wake zetu hapo umechapia, hakuna mchungaji anayekula mke wa mtu. Unazungumzia wahuni ambao wapo hata kwenye dini yako huoni kuwa umelogwa wewe? Mbona unayumbayumba kwenye hoja? Tulia nikupe kifinyo cha hojaKuna aliye rogwa zaidi ya nyinyi warokole mnao furahia damu za watoto kumwagika na unaye ona Wayahudi ni bora kuliko maelfu ya wakristo wenzio wa kipalestina wanao pitia mateso?
Warokole hamnaga akili ndio maana wachungaji huwa wanalia wake zenu kwa sababu nyinyi ni wapumbavu, yaani hela zenu wanawalia na bado na wake zenu wanawalia.
Hebu tutajie nchi zinazo ongoza kuwahifadhi wakimbizi kutoka mashariki ya kati ili tuone kama ni kweli watu wanapenda kukimbilia ulaya.
Kama waislamu wanavyowatukuza waarabuWakristo wanatukuza sana hawa Wayahudi sijui wananini cha zaidi
Kwanini waislamu mnaongoza kuwachukia wayahudi wamewakosea nini?Wakristo wanatukuza sana hawa Wayahudi sijui wananini cha zaidi
Kwanini waislamu mnachuki sana na wayahudi?Wakristo wanatukuza sana hawa Wayahudi sijui wananini cha zaidi
Kama waisilam wanavyotukuza waarabuWakristo wanatukuza sana hawa Wayahudi sijui wananini cha zaidi