Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Wapigania hiko kitu wote walikuwa ni wachumia tumbo
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Huku ndio kuendeleza mawazo ya kimaskini. Bara ni kubwa sana kulinganisha na visiwa vya pwani yake.

Ni aibu kuanza kudai haki Zanzibar wakati eneo lao ni kama mkoa mmoja tu wa bara.
 
Ni wepi wenye zanzibar halisi kati ya wanaosema wamepindua na wale ambao wamepinduliwa ?
Makundi yote mawili ndio wenye Zanzibar.
Walio pinduliwa ni Wazanzibar
Sultan Jesmshid baba na babu yake wamezaliwa Zanzibar wenye asili za kiarabu .mama yake ni Mmanyema kutoka Tanganyika (Tanzania bara)
Alie kuwa Waziri mkuu Shamte ni Mpemba wa vizazi vingi.
Walio pindua kuna wazanzibar wakisaidiwa na wageni
Kina babu, Khanga ni washirazi wa Unguja kumbuka washirazi ni watu wenyeasili ya Iran 🇮🇷
Wangeni ni kina John Okello Uganda 🇺🇬 Mfaranyaki Frm Tanganyika.

Hiyo ndio biriani ya Zanzibar Revolution
 
Haya wenye zanzibar halisi kati ya unaosema wamevamia na waliovamiwa ni nani ?

Ni hawa wanaoletewa majeshi Na kuuliwa Na kuporwa ushindi wao kila siku za uchafuzi
 
Huku ndio kuendeleza mawazo ya kimaskini. Bara ni kubwa sana kulinganisha na visiwa vya pwani yake.

Ni aibu kuanza kudai haki Zanzibar wakati eneo lao ni kama mkoa mmoja tu wa bara.
Hoja yako ya udogo wa Zanzibar na ukubwa wa Tanganyika ina mashiko, lakini ninapata kigugumizi kuikubali.
Kwa nini Mtanganyika akataliwe kumiliki ardhi Zanzibar wakati Mnzanzibari anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika?
Hapo tunadumisha umoja?
 
Mambo mengine yaacheni kama yalivyo...
 
Hoja yako ya udogo wa Zanzibar na ukubwa wa Tanganyika ina mashiko, lakini ninapata kigugumizi kuikubali.
Kwa nini Mtanganyika akataliwe kumiliki ardhi Zanzibar wakati Mnzanzibari anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika?
Hapo tunadumisha umoja?
Ndio udogo wenyewe wa visiwa kukataliwa kumiliki ardhi Zanzibar. Ardhi imeisha huku bara mpaka utake kuimiliki ya kule Zanzibar?.
 
Hoja yako ya udogo wa Zanzibar na ukubwa wa Tanganyika ina mashiko, lakini ninapata kigugumizi kuikubali.
Kwa nini Mtanganyika akataliwe kumiliki ardhi Zanzibar wakati Mnzanzibari anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika?
Hapo tunadumisha umoja?
Kiu harisia Mtanganyika unauziwa Ardhi wa Zanzibar Wana njaa wanauza Sana Ardhi kwa wageni kutoka ulaya Yani wamediriki kuuza mpaka maeneo ya kuzikia kwa wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Zanzibar ni uchochoro wa kutenda ualifu. Hivi CAG wakule huwa ni nani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…