Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

CCM wanasema wanalinda huo wanaouita muungano kwa gharama yoyote. Kwa mantiki hiyo watafilisika muda si mrefu. Nchi fukara kama Tanzania haiwezi kukaa nchi vamizi milele. Ufaransa ilivamia Algeria ikabaki karibu miaka 140, lakini mwishowe ilishindwa majeshi yake yakatimuliwa. Marekani ilivamia Afghanistan ikakaa miaka 20, mwishowe ilishindwa majeshi yao yalitimuliwa. Majeshi ya vamizi Zanzibar hayawezi kubaki muda mrefu.
 
Kwa hiyo unataka Mzanzibari Adai Zanzibar huru toka kwa mzanzibari?
 
Waliokuwa wanapiga kelele sasa hivi wako mezani
Tatizo bara mkiwa madarakani mnawabania sana,, yaani mikopo yote mnatumia kwenu tu, misaada yote,,,
Wabara tuacheni ubinafsi,,, hata yesu amesisitiza upendo,
Ubinafsi ni uroho,,, mambo ya kung'ang'ania madaraka tuache ,, cheo hauzikwi nacho,,
Sio nyie mkikamata madaraka hamtaki kuachia halafu vyeo mnapeana tu, [emoji23][emoji23] wenzenu wakihoji, mnawambia, "tulieni, nyie hamkusoma"
Sasa mtulie mfundishwe kuwa, uongozi ni kuongoza watu na sio kuwatawala,,,
Na kwamba vyeo ni dhamana
 
Sasa unataka wadai uhuru gani wakati nchi inatawaliwa na wazanzibari, subiri siku akitawala mbara ndio wataanza harakati upya tena
Wabara tumekwama sana , kwanza mwaka 67 watu walitaifishwa nyumba zao, bila sababu kosa lao walikua, matajiri
Pili 84,watu wenye ukwasi wakapata heka heka eti walanguzi
Bado kina Bashite, sabaya wakawa wanawapora watu wenye utajiri,, eti wanafanya money laundry,,
Kiufupi wabara hatuna ustaarabu wa uongozi, kwa walio wengi
Tujisahihishe,, tuache roho mbaya na ubinafsi[emoji3][emoji3]
 
hii ni laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…