Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
At what cost,acha ujinga.Yule ni mwamba.
Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.
Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..
In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.
Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Tumefikia hapa ajili yake. Bora Mungu kamuondoa mapema.Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujega vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Ukimaliz kuuliza hilo swali jiulizw JK aliwezaje kuongeza mishahara ya watumishi na kutoa ajira kila mwaka alafu magufuli huyo huyo mpaka anafariki alitoa ajira 6000 tu tena kwa sababu ya Lissu.Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujega vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Chadema walitwambia JPM ananyang'anya na kuwadhurumu wafanyabiashara kupitia sheria ya P. bargain kwa kuwabambikia kesi za Uhujumu Uchumi na kujenga ma flyovers. Mama kaachana na mbinu hiyo kaja na chanzo kipya na Kazi Inaendelea πππHili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujega vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Alipora kwenye akaunti za matajiriHili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujega vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Plus kupora watu fedha zao kwenye mabenk nashangaa eti alikuwa mwamba wakati alikuwa mwizi sanaalikopa sana kupita kiasi, akaacha kuajiri, akaacha kupandisha mishahara, mifuko ya kijamii akakomba,