samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Kikomo cha kukopa?
Ile tililioni 2 ambayo mama kakopa juzi ulimkopesha wewe
tunazungumzia kukopa kupita kiasi tena kwa siri mpaka tutonywe na akina ZZK..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikomo cha kukopa?
Ile tililioni 2 ambayo mama kakopa juzi ulimkopesha wewe
Sasa kama ni kwa siri ulijuaje kama tuna deni na alikopa?tunazungumzia kukopa kupita kiasi tena kwa siri..
Duh.Kwenye umeme Hali ipo hiviView attachment 1900398
Mama hakopi? Mama amepandisha mishahara?alikopa sana kupita kiasi, akaacha kuajiri, akaacha kupandisha mishahara, mifuko ya kijamii akakomba,
Hilo deni halilipwi awamu hii ya mama?Unajua takwimu za deni la Taifa kipindi cha awamu ya 5?
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Unyang'anyi kupitia 'task force'Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Nani alinyanyag'anywa?Unyang'anyi kupitia 'task force'
Wafanyabiashara wengi kwa kodi za kubambikizia na unyang'anyi kwa shurutiNani alinyanyag'anywa?
Baada ya kumaliza kupora pesa za matajiri na wawekezaji alishaanza kukwama na alikuwa anaelekea kuanza kunyang'anya pesa kutoka kwa wanyonge wake!Yule ni mwamba.
Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.
Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..
In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.
Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Umemjibu vema,anauliza maswali ambayo yako wazi.alikopa sana kupita kiasi, akaacha kuajiri, akaacha kupandisha mishahara, mifuko ya kijamii akakomba,
Soma ukweli uliopo post #10, zingine ni porojo tu. Mama anaenda kufanya yote hayo bila kukakamaa msuli wala yapping abouts nyiiingi. Tutaelewana tu.Yule ni mwamba.
Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.
Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..
In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.
Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Hakuna Cha mwendazake Wala nini, WOTE ni MAUMIVU tuHili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha
Bajet ya serikali inakamishwa mwezi wa pili hiyo mnayemsifu Kafa mwezi wa tatu haya kayaleta yeye msijitoe akili wehu nyiieHili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?
Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?
Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?
Je hakuna chanzo kingine cha