Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha


Viko wapi? [emoji2369][emoji2369]

Watuambie vimengengwa watu ili mtu akitaka kuthibitisha uwepo iwe rahisi.

Hata kwa kuwasiliana na watu wa maeneo husika kujua.
 
Kwani wewe uliyeleta bandiko ndiyo umezaliwa jana kwamba alikokuwa anachukua pesa hukujui? Kila kitu kiko wazi aise.
 
Yule ni mwamba.

Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.

Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..

In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.

Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Baada ya kumaliza kupora pesa za matajiri na wawekezaji alishaanza kukwama na alikuwa anaelekea kuanza kunyang'anya pesa kutoka kwa wanyonge wake!
 
Yule ni mwamba.

Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.

Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..

In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.

Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Soma ukweli uliopo post #10, zingine ni porojo tu. Mama anaenda kufanya yote hayo bila kukakamaa msuli wala yapping abouts nyiiingi. Tutaelewana tu.
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha
Hakuna Cha mwendazake Wala nini, WOTE ni MAUMIVU tu
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha
Bajet ya serikali inakamishwa mwezi wa pili hiyo mnayemsifu Kafa mwezi wa tatu haya kayaleta yeye msijitoe akili wehu nyiie
 
Kikwete ndio tungejiuliza alitoa wap hela

Magu alinyonya wafanyabaishara sana (akikukuta na bil bank anataka mgawane otherwise anafunga ac)

Mama ananyonya maskini

Why wasimuulie mzee wa msoga akifanyaje
 
Back
Top Bottom