Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha

Alipora kwenye akaunti za matajiri
Una uhakika dada?
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha

china EXIM bank
 
Ukimaliz kuuliza hilo swali jiulizw JK aliwezaje kuongeza mishahara ya watumishi na kutoa ajira kila mwaka alafu magufuli huyo huyo mpaka anafariki alitoa ajira 6000 tu tena kwa sababu ya Lissu.

kwa sababu ya nani?
 
Tunaambiwa matajiri walidhurumiwa masikini tukaingia mkenge kuwatetea sasa masikini tunakamuliwa hakuna Tajiri anatutetea. Wanyonge muache viherehere
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema matajiri wataishi kama maahetani sasa safari hii imegeuka masikini wanaishi kama mashetani
 
  • Thanks
Reactions: nao
Alitoza kodi kubwa na kunyang'anya hela za wafanya biashara. Ambapo sasa zimepungizwa, ili kuiwezesha secta binafsi kukuwa na hivyo kutengeneza ajira nyingi kwa watanzania.

Lkn pia vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari walilazimishwa kuvinunua kwa Tsh. 10,000. Kwa kila mmoja.

Alianzisha tozo za kupiga mihuri ya mifugo yote nchini kwa kila ng'ombe Tsh. 3000. Ko wenye ng'ombe zaidi ya 500. Ziliwatoka nyingi.

Pia aliwatoza machinga Tsh. 20,000. Kwa kila mmoja kwa mwaka. Ambayo kwa sasa haipo.

Kuunganishiwa umeme kipindi hicho ilikuwa Tsh. 320,000, lkn sasa ni Tsh. 27,000.

KO HIVI NDIVYO VILIKUWA VYANZO VYA JPM NYAKATI ZAKE.
Mfyuuu
 
Kikomo cha kukopa?

Ile tililioni 2 ambayo mama kakopa juzi ulimkopesha wewe
Wewe hujui kwamba kuna kiwango fulani cha kukopa kila baada ya muda fulani na utaendelea kukopa baada ya muda huo kupita?!
 
Kikwete ndio tungejiuliza alitoa wap hela

Magu alinyonya wafanyabaishara sana (akikukuta na bil bank anataka mgawane otherwise anafunga ac)

Mama ananyonya maskini

Why wasimuulie mzee wa msoga akifanyaje
Kikwete aliachiwa nchi na hayati Mkapa ikiwa imepata misamaha ya kodi ila alishindwa kutuvusha akabaki kushangaa kwanini nchi masikini bado.

Ingekuwa JPM tungekuwa mbali sana kutokana deni la Taifa na misamaha ya kodi, kipindi cha JK ulafi ulitamalaki.
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha

Tatizo mlikuwa mnacheka machinga lutokulipa kodi sasa mnajua mtu asikiomba risiti au machinga kuuza vitu kiholela ile kodi ambayo wangelipa ndiyo unalipa wewe. Lipa kodi au hakikisha wengine wanalipa hakuna kitu cha bure
 
Kikwete ndio tungejiuliza alitoa wap hela

Magu alinyonya wafanyabaishara sana (akikukuta na bil bank anataka mgawane otherwise anafunga ac)

Mama ananyonya maskini

Why wasimuulie mzee wa msoga akifanyaje
Aliachiwa nchi ikiwa imepewa misamaha ya mikopo lakini alishindwa kutuvusha, eti kuongeza misamaha, uliza pia misamaha ya mikopo aliyoachiwa na Mzee Mkapa alifanya nini?
 
Kwani alikuta pesa kiasi gani hazina ukilinganisha na kiasi alicho kikuta mama?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha
Ni zile alizokuwa ananyang'anya wafanyabiashara unadhani zilikuwa zinafanya kazi gani na zile za kutoongeza mshahara miaka 5 wafanyakazi na zile za kukwapua mifuko ya hifadhi ya jamii hadi kutolipa wastaafu.
 
Hili swali lazima tujiulize wadau. Mbona hayati JPM alijenga vituo vya afya 460+ bila kutukamua tozo kama hizi?

Je kama alipata hizo pesa na kujenga vituo, chanzo kilikuwa ni kipi?

Je, kuna haja ya kutumia ujenzi wa vituo vya afya, shule na barabara kama justification ya kodi kama hizi?

Je hakuna chanzo kingine cha
Alijenga vingapi ? Yaani vituo 450 miaka 6 si upumbavu huu? Unadhani mama hawezi fanya hayo? Anaweza Sana ila huo ni utoto kwa sababu kuna kata 3956 na vituo ni 756 tuu sasa hao wengine itafikiwa vipi?

Hapo lengo la mama ni kwamba ndani ya miaka 4 ijayo wafikishe angalau vituo 800
 
Yule ni mwamba.

Ingawa nae alifanya unyanganyi kwa kutumia task force.

Ila jamaa ni champion kwa miundombinu. Tena tungempa na hizi tozo aaaa..

In 10 yrs chuma alikuwa anaibadili hii nchi kuwa na miundombinu bora kabisa.

Afya, elimu, barabara na utawala. Apumzike kwa amani.
Huo u champions sijui ni upi maana ndani ya miaka 6 kilichokamilika ni flyover ya Tazara na ubungo,,kama Kuna kingine wekeni hapa
 
Back
Top Bottom