Mbona Kikwete anacheka kila wakati 🤔

Mbona Kikwete anacheka kila wakati 🤔

KIDUME20

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2023
Posts
1,951
Reaction score
4,540
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
download (1).jpeg
download (2).jpeg
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Ulitaka sura ya mbuzi mkuu!

images.jpeg-1.jpg
images.jpeg-2.jpg
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Ndo maana anaishi hadi sasa
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Sababu nchi yenyewe kila wakati inachekesha
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Ulitaka alie?
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Anataka kuishi maisha marefu
We unataka awe anfura mud wote kama mwendazake Ili afe mapema!?
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee [emoji848]
Hii ni hulka na haiba ya mtu tu. Huwezi kumfananisha na kiongozi kama Pinda na Wasira,.
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee [emoji848]
Waovu hujichekesha kuzuga,moyoni wananongwa balaaa
 
Back
Top Bottom