Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

Hili wazo zuri sana, sasahivi nitakuwa natumia hii njia nahisi itakuwa nzuri zaidi
 
Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama (kanipa space) ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
tatizo linaanzia hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…