kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Kosa lako kubwa ni kuwa na mwanamke mmoja ndiyo maana unahaha sasa hivi.Haa told me like sijawahi kupata mwanamke wakati mpaka umri huu najaza uwanja wa taifa wa ndani Ex zangu. Ila ukweli ni uleule hawaonekani sadahivi.
Mzee mpaka sasa nishawai kuwa na wmwanamke mmoja, wanawake wawili kwa wakati mmoja, watatu, wanne, watano, mmoja nk.Kosa lako kubwa ni kuwa na mwanamke mmoja ndiyo maana unahaha sasa hivi.
Tafuta hela utanishukuru mbeleni rafikiTuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.
Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.
Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Badili dini, njoo dini ya kweli na usawaTuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.
Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.
Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Jitahidi uwe unauthubutu wa kuomba number sehemu yoyote ukiingia kwenye daladala omba kwa demu unamuona unayemuelewa hii ndio best njia ya kupata mwenzabado kuna ugumu mzee hata mkiwa ofisi moja kumtongoza mfanyakazi mwenzako sio rahisi
Badili mazingiraTuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.
Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.
Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Wala sio maadili kabisa. Na kama ikitokea mkaingia katika mahusiano, basi mmoja wenu lazima aachie ngazi hapo kazini.bado kuna ugumu mzee hata mkiwa ofisi moja kumtongoza mfanyakazi mwenzako sio rahisi
Right woman hawaji kwenye right place nimpaka uwe una jaribu kuomba number sehemu yoyote ile na kwa mademu tofauti tofauti baada ya hapo ndio unaanza communication kupitia hapo sasa ndio utajua yupi sahihi kwako.Suala sio mademu wengi mbagala, ishu ni ku-meet right girl at right place mfano unaweza kuona wanawake wawili tofauti ila maeneo sio rafiki yaani unapita unaona tule nimemuelewa ndio anazama nyumbani kwao, yule anapita njiani uezi ukaanza Hey Hey balabalani.
'Right women at Right place' hiki kitu ndio kinaweza kukufanya usipate mwanamke hata miezi miwili Once mahusiano hayako Formal ni kuvizia na kuonana kwa bahati mbaya.
AiseeMsaidie basi,, sababu unamiliki verses matata sana
Watu Wana rahisisha mambo sanabado kuna ugumu mzee hata mkiwa ofisi moja kumtongoza mfanyakazi mwenzako sio rahisi
Hizo ni propaganda tu mzeeDon't waste ur time chasing Butterflies,
Fix your garden and the Butterflies will come.
Usitongoze binti kwa mara ya kwanza nilazima utapigwa chini tu njia ya kwanza uwe unauthubutu wa kuomba number kwa demu yoyote unaemuelewa sehemu yoyote ile, tumia communication skills and confidence iwe kwenye daladala au any place then baada ya hapo tengeneza communication kwa wote ulichukua number chat nao kupitia hayo mazungumzo utajua tu yupi sahihi kwako. Hii ndio best way ya kupata manzi.Tupo wengi kumbe
Inawezekana hujaelewa mkuu,Hizo ni propaganda tu mzee
Ukiishi kwenye kanuni za hv utazeeka ukiwa bachelor milele.
Hii njia ni nzuri sana.Right woman hawaji kwenye right place nimpaka uwe una jaribu kuomba number sehemu yoyote ile na kwa mademu tofauti tofauti baada ya hapo ndio unaanza communication kupitia hapo sasa ndio utajua yupi sahihi kwako.
Natafuta Ajira
Kama nimekuelewa, unataka mwanamke aje akwambie "kaka nimekuja unitongoze."Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.
Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.
Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu