Mbona kwarezma watu wanafunga na wala hawawakatazi wengine kula?

Mbona kwarezma watu wanafunga na wala hawawakatazi wengine kula?

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Itoshe kusema watu wa imani ile ni washari na wakorofi sana, ni wanafiki kuliko vipimo vyote vya unafiki ati dini yao ni ya haki, sasa haki gani ya kubugudhi wengine kama wewe umefunga ndio ulazimishe wa wengine wasiokua wa imani yako wafunge ?!!! Ebo !!

Mbona wengine hua wanafunga kwarezwa na hutajamahi kusikia wakiwafanyia fujo watu wanaokula ?!!

Yani eti mtu amefunga ila anatembea na mafimbo kupiga wanaokula na kuvunja wenye migahawa wanaojiuzia chakula.

Hivi hawa jamaa na dini lao wanajiona kina nani ati ukiua mtu kwa kutetea dini unaenda kupewa mabikra 72 na vimito 6 ya pombe peponi, jamani hili dini ati kuna watu wanaamini maujinga haya ati ni dini ya kweli.

Unafiki kujifanya wamefunga huku vijana wa kiume visiwani humo zaidi ya nusu hawana marinda ila eti anaekula chakula katenda uovu mkubwa wa kupigwa hadharani UNAFIKI wa viwango vya phd. Majitu maswahili swahili tu

Wanajifanyaga wakorofi afu wachumba tu wapaka lipstic. Kuna makati kitabu chao kilichanwa huko nchi za mbali kabisa nadhani Canada eti wao hapa nchini wakaanza kuchoma makanisa usiku.

Hawa jamaa ni wajinga sana sasa kitabu kimechanwa huko Canada wao wanachoma makanisa ya huku Kolomije. Hua natamani vurugu zao zitokokee kitaani kwangu ndio niwaonyeshe kazi hiyo mindevu yao nitatumia kuchambia.
 
You have to know that Religious fundamentalism is direct proportional to ignorance.Societies that are extremely ignorant interms of knowing how real world issues ensues are prone to
religious fundamentalism.
 
Sidhani kama umeusoma uzi na kuelewa,

Wenye shida sio wafunga kwarezma ni wale wafungaji wa vibaragashea
Kwenye uzi wako tangu mwanzo hadi mwisho umekazana kutoa povu kwa Islamic religion.. sasa kuna sehemu gani apo haijasomwa!



Umeongelea kuhusu Kwaresma, nimekuuliza Uwo mfungo kwa kwaresma unaujua lakini?

Unaongelea kitu usichokijua


Moderator Tafadhali futeni huu uzi, hamna cha maana hapa
 
Wakristo wanafunga Siku 40 waislamu. Siku 30

Mkristo akifunga hata umwambie nikaangie chips kuku anakukaangia bila shida haoni kuwa unamkwaza

Waislamu wakifunga ooh swaumu swaumu marufuku kula hadharani na kelele kibao ohhh mimi nimefunga!! Usile mbele yangu yaani shida tupu.Kwa wakristo funga ni yako binafsi usimkere asiyefunga kwa waislamu funga ni jumuiya asiyefunga una kesi utafikiri ndie uliyemtuma afunge!! Ukila chips yako mikelele kibao anakununia ofisini utafikiri wewe ndio ulimtuma afunge
 
mbona umepaniki jibu hoja kwanini mnajiona watakatifu kuliko wengine?
 

Matayo 6:16-18
Neno: Bibilia Takatifu

Mafundisho Kuhusu Kufunga​

16 “Mnapofunga, msionyeshe huzuni kama wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nyuso zao ili kujionyesha. Nawaambieni kweli kwamba wao wamekwisha kupata tuzo yao. 17 Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kuosha nyuso zenu 18 ili kufunga kwenu kusijulikane kwa mtu ila Baba yenu aliye sirini; na Baba yenu aonaye katika siri atawapa thawabu.” Akiba Ya Mbinguni.
 
wanafiki wakifunga wanataka waonekane mbele ya hadhara kuwa wamefunga yaaani hawa jamaa wa ajabu sana
 
Wazazi msiruhusu watoto wenu wa primary school kuchezea simu zenu haswa kipindi cha likizo au sikukuu km hii ya leo, inaleta usumbufu kwa Great thinkers, period!!!
 
Kwenye uzi wako tangu mwanzo hadi mwisho umekazana kutoa povu kwa Islamic religion.. sasa kuna sehemu gani apo haijasomwa!



Umeongelea kuhusu Kwaresma, nimekuuliza Uwo mfungo kwa kwaresma unaujua lakini?

Unaongelea kitu usichokijua


Moderator Tafadhali futeni huu uzi, hamna cha maana hapa
Hizi nyuzi humu, ziko kama kumi na Sita hivi kila siku inafunguliwa nyingine tangu Ramadhani ianze.
Hivyo unaweza kujiona siyo mnafiki huna chuki na wengine kumbe unayo, ila hujijui tu.
 

Matayo 6:16-18
Neno: Bibilia Takatifu

Mafundisho Kuhusu Kufunga​

16 “Mnapofunga, msionyeshe huzuni kama wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nyuso zao ili kujionyesha. Nawaambieni kweli kwamba wao wamekwisha kupata tuzo yao. 17 Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kuosha nyuso zenu 18 ili kufunga kwenu kusijulikane kwa mtu ila Baba yenu aliye sirini; na Baba yenu aonaye katika siri atawapa thawabu.” Akiba Ya Mbinguni.
Sasa unatakaka wanafiki, wafanane kufunga na makafiri huoni imani mbili tofauti.
 
Hoja yako iko Wapi Mkuu? naona vichambo tu kama waimba taarabu .
Simama katika hoja au Upo kwa ajili ya mipasho.
 

Matayo 6:16-18​

Neno: Bibilia Takatifu​

Mafundisho Kuhusu Kufunga​

16 “Mnapofunga, msionyeshe huzuni kama wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nyuso zao ili kujionyesha. Nawaambieni kweli kwamba wao wamekwisha kupata tuzo yao. 17 Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kuosha nyuso zenu 18 ili kufunga kwenu kusijulikane kwa mtu ila Baba yenu aliye sirini; na Baba yenu aonaye katika siri atawapa thawabu.” Akiba Ya Mbinguni.
Waislamu wajifunze kufunga na kudhibiti nafsi zao na matamanio yoyote yawe chakula , nyege , kitimoto, au chochote badala ya kuwatishia wasio funga wanaowaita makafiri kuwa wanawapa matamanio!!!! Kipindi cha Ramadhani ,wakati baada ya Ramadhani matamanio yanarudi pale pale kwa wafunga Ramadhani!!
 
Ndio mkuu najua chuki ninayo tena kali sana. Naachaje kua na chuki na majinga yanayo endekeza mafundisho ya uadui eti ukiua unapewa mabikra 12, naachaje kua na chuki na wapumbavu kama hao ?!! Ebo

Na ukweli kua nyuzi nying zinazungumzia jambo hili ni uthibitisho kua watu wa dini hiyo wamevuka mipaka ya ukorofi.
Anza kumchukia Baba yako na mama yako,. waliozaliwa Dunia ambayo wajinga wenye chuki wanaishi, nao wakakuacha uishi karibu nao.

Uwe na chuki usiwe na chuki nao haipunguzi wala haiongezii chochote, maisha yanaenda, si ajabu ukakuta Dada yako umpendayo tulizo lake la moyo ni haohao.
 
Back
Top Bottom