Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Nakubali kabisa, Masasi ni wilaya Ila ni center sana na Pana Mishe za hela.. Huwa naendaga Lindi kupunga upepo wa bahati tu na kurudiHapo ndio town kati.. Lindi kumepoa sana asee.. Kama mpambanaji bora ukaishi Masasi kuliko Lindi.
#MaendeleoHayanaChama
Mradi wa Gas ya Mtwara ulibadilishaje Maisha ya Mtwara mpaka leo?Acheni dharau kwa Lindi.
MRADI WA LNG unaotarajia kuanza muda si mrefu ndio unakwenda kubadilisha kila kitu.
Rais kaamlisha Airport iboreshwe
Chuo cha masuala ya Gas kitajengwa
UDSM nao washachukua eneo na soon wanajenga
Chuo cha Masuala ya Mahakama
Open University
Eneo la viwanda Kutokana na MRADI wa LNG. N.k
Sasa wewe bweteka na kuidharau Lindi, wenzako wanakwenda Lindi kuchukua maeneo na kuwekeza
Baada ya Dar, soon Lindi ndio inakwenda kuwa na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi hapa Tanzania.
You know why? Huu MRADI wa LNG utajengwa km chache kutoka centre of the Town, hivyo mzunguko wa Pesa utaonekana Directly kwa wakazi wa hii Manispaa.
Uliibadilisha wenyeji tunaelewa.Mradi wa Gas ya Mtwara ulibadilishaje Maisha ya Mtwara mpk leo?
Haswaaa wamwelaaa...Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori.. mji umejaa umwinyi sana na kurogana.. kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.
Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda DSM kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.
Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yaani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.
Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilimali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini.. maji safi tatizo umeme nao tatizo.
Wajanja wanapata hela sana Lindi kwa maana ya mazao kama ufuta, korosho, mbaazi n.k.
Karibu sana Lindi Ruangwa.
#MaendeleoHayanaChama
Upo nyuma sana aiseee!Mradi wa Gas ya Mtwara ulibadilishaje Maisha ya Mtwara mpk leo?
Upo nyuma sana aiseee!
Lindi ni LNG Project. Kama hujui jaribu hata Google uweze kutofautisha na miradi mingine ya Gas
Acheni dharau kwa Lindi.
MRADI WA LNG unaotarajia kuanza muda si mrefu ndio unakwenda kubadilisha kila kitu.
Rais kaamlisha Airport iboreshwe
Chuo cha masuala ya Gas kitajengwa
UDSM nao washachukua eneo na soon wanajenga
Chuo cha Masuala ya Mahakama
Open University
Eneo la viwanda Kutokana na MRADI wa LNG. N.k
Sasa wewe bweteka na kuidharau Lindi, wenzako wanakwenda Lindi kuchukua maeneo na kuwekeza
Baada ya Dar, soon Lindi ndio inakwenda kuwa na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi hapa Tanzania.
You know why? Huu MRADI wa LNG utajengwa km chache kutoka centre of the Town, hivyo mzunguko wa Pesa utaonekana Directly kwa wakazi wa hii Manispaa.
Nisiwacheke sana Lindi, maana mwenyewe kwetu hali ni hiyo hiyo japo kuna nafuu kidg. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena bora lindi watajivunia Bahari na bandari,. Sisi Ruvuma ni vumbi tyuuh. Sisi ndo tulikosea nn Dunia, sio kwa mkoa wetu khaaah.
Wakazi wa Lindi siyo consumer wazuri wa bidhaa lakini pia mkoa huu una watu wachache sana. Hivyo hauwezi kuwa kuvutia kibiashara kwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza.Inshu sio location..hivi unaijua Ifakara iliko..lakini mbona inapiga hatua.
Kama kuna biashara watu watafika tu.
#MaendeleoHayanaChama
Kitoke wapi?Hivi Lindi hakuna vyuo??
Nalog off Z"Huku kitu Cha bei rahisi ni chumvi na mwananke" 🤣🤣
Sayansi ya kuangalia makabila sio sahihi. Sababu hawa watu wamejazana mijini. Kwa waha, wachaga au wakinga kwenyew kuko ovyo. Kifupi eneo lenye 'rurality' (Ukijiji) haya mambo ya uchache wa fursa utayakuta tu. Na haya maeneo yamepigwa vizuri kabisa na "rural - urban migration". Wachaga wenyew hawawezi kuisimamisha moshi sabab y uchumi wa kilimo ulivyoWakazi wa Lindi siyo consumer wazuri wa bidhaa lakini pia mkoa huu una watu wachache sana. Hivyo hauwezi kuwa kuvutia kibiashara kwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza.
Lakini pia mkoa huu hauna mwingiliano wa wageni kutoka sehemu zingine hivyo population yake ni kama homogenous hivi haina kichocheo cha mabadiliko.
Kwa experience yangu mkoa wowote ukikuta hauna wachaga, wasukuma, wakinga, na waha ujue hauna fursa za kiuchumi.
Hayo makabila yanajua Kunusa fursa za uchumi kuliko panya Magawa Lindi haina hii sifa.
Ha ha imagine hapo ndo mjini...ila december napanga nifanye tour huko kusini..uzi nimeupenda.Ila Lindi tatizo nyumba zao daaah, utadhan vibanda afu town hapo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Et hendi to mauthi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuwe wawazi tu tatizo ni umwinyi na uchawi hapo Lindi. Sehemu yeyote ambako uchawi umetamalaki hainaga maendeleo.
Watu hawavutiwi kuja sababu mji hauna hamasa za kiuwekezaji. Asilimia kubwa ya wana Lindi wana kipato cha hand to mouth. Sasa nani atapeleka hela huko?
... Halafu wanakuja kupiga kelele baadaye walitengwa! Anyway, Lindi imetoa watu maarufu nchi hii; Simba wa Vita, First Lady, current PM. Kama naona Ruangwa itajitenga kuwa mkoa unaojitegemea maana hadi timu wana timu yao ligi kuu.Shida ni elimu. Hizi zimambo nyingine za Imani z inaletwa na tamaduni ya watu wa kule kushindwa kukubaliana na maisha ya kisasa(more resistant to modernity)