Mbona majanga kila Mahali? Arusha nayo yakumbwa na mafuriko, magari yasombwa

Ni makaribisho😜
 
Ni mvua kubwa iliyonyesha upande wa Kaskazini mwa kisongo Elkiushini/ Likamba Magharibi mwa TPRI

Maji yamefuata mto mdogo na palio la njia na kukutana na tuta la bara bara ..na kuvuka upande wa pili noma mbaya sana piga mpaka sambaratisha
Hayo magari huenda mkayakuta Ziwa Manyara au kule jeshini

Tukae kimachale chale Usiku..haswa pale Mto wa Mbu mzigo ukijibu Karatu hapo bondeni tutafafuta

Poleni sana majirani zetu wa Kisongo
Wajeda Mbarikiwe kwa resķyuu
 
It is a sign that we have to change...kuna mahala mambo hayako sawa
 
Tunamshukuru sana Mama Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kutukumbuka Wana Arusha kwa kutuletea mafuriko kwa kweli.
 
Yan chadema ikiongozwa na wewe huumu naonaga kama mnapendaga sana watanzania wakipatwa na matatizo na majanga ili muinafikie ccm na muinafikie serikali, nyinyi ni wapumbavu kati ya wapumbavu kuwahi kutokea tangu dunia kuumbwa, kwamba nyinyi ndio mna haki ya kuwepo madarakani ili mtatue matatizo ya watannzania?

Linapokujaga swala la majanga na matatizo yanayotokea nchini hua mnapenda sana akili matope kabisa, hata kama ccm ina mapungufu mengi ambayo.hua mnayafurahia, nyinyi hamtoweza kupewa nchi hii muongoze maisha, mtaishia nafas za bungeni tu kwa akilli hizi.
 
Alikuonesha kadi yake ya CHADEMA?Ni member namba ngapi?Unaongozwa na emotions za kipumbavu.Kua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…