Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akutane na mafuriko kwanza.Mwamba kaanza na mafuriko.Mungu wetu Yu hai,itaeleweka tuu.
Poleni sana ndugu zetu mnaokumbwa na maafa, ila huenda ndiyo yale maneno ya kejeli ya kuwa Mungu amemleta RC, Mungu hadhihakiwi, kumbukeni kuweka akiba za manenoMvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Halina marindaArusha litakuwa bwawa Makonda limeleta mafuriko.
Waelekeze wakuelewe kilicho moyoni na kichwani mwako.Watu wa ajabu sana hao halafu unakuta eti mtu ana degree au PHD.
Naona mnataka mumrudishe kwenye chatUtasikia Magufuli kaleta mafuriko
Walevi wa huko Kaskazini si ndiyo wenye kupayuka sana kuhusu mafuriko ya Rufiji?
Wayazuwie sasa kwa kuongea pombe.
Stupid, CHADEMA imeingiaje hapa. Wewe kila wakati unawaza siasa. Watu wameleta habari ya majanga wewe unaishambulia CHADEMA. Kweli vichaa ni wengi.Yan chadema ikiongozwa na wewe huumu naonaga kama mnapendaga sana watanzania wakipatwa na matatizo na majanga ili muinafikie ccm na muinafikie serikali, nyinyi ni wapumbavu kati ya wapumbavu kuwahi kutokea tangu dunia kuumbwa, kwamba nyinyi ndio mna haki ya kuwepo madarakani ili mtatue matatizo ya watannzania?
Linapokujaga swala la majanga na matatizo yanayotokea nchini hua mnapenda sana akili matope kabisa, hata kama ccm ina mapungufu mengi ambayo.hua mnayafurahia, nyinyi hamtoweza kupewa nchi hii muongoze maisha, mtaishia nafas za bungeni tu kwa akilli hizi.
Huyo mjinga ni weweHalafu kuna watu wajinga wanaulizana kwanini Rufiji kuna mafuriko.
Wewe bibi una shida gan,mbona mda wote kisiraniWalevi wa huko Kaskazini si ndiyo wenye kupayuka sana kuhusu mafuriko ya Rufiji?
Wayazuwie sasa kwa kuongea pombe.
Punguza pumba wewe ni mtu mzima.Walevi wa huko Kaskazini si ndiyo wenye kupayuka sana kuhusu mafuriko ya Rufiji?
Wayazuwie sasa kwa kuongea pombe.
Akamuulize Samiah. StupidKuna mdau kauliza "kuna bwawa gani limefunguliwa huko" linaloleta mafuriko?
Hiyo imekuingia patamu.Akamuulize Samiah. Stupid
Punguzeni kebehi kwenye majangaYawezekela lile bwawa la mwalimu nyerere limemwaga maji yake hadi Arusha
Imekuingia wewe mtu mzima hovyoHiyo imekuingia patamu.
Wewe ndio umesema.Utasikia Magufuli kaleta mafuriko
Nafahamu imekuingia patamu ndiyo maana unasema hovyo.Punguza pumba wewe ni mtu mzima.
Wewe ndio umesema.Tatizo ni bwawa la umeme rufiji, mlevi mwingine alisikika akisema ni magu, mjinga mmoja alisikika akisema ni samia ndio chanzo