econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mimi nakwambia ukweli, mama mtu mzima unataka kujifanya Binti wa miaka ishirini. Punguza pumba.Nafahamu imekuingia patamu ndiyo maana unasema hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakwambia ukweli, mama mtu mzima unataka kujifanya Binti wa miaka ishirini. Punguza pumba.Nafahamu imekuingia patamu ndiyo maana unasema hovyo.
kamanda kama vile hakua na taarifa yoyote kwamba kutakua na hali ya hewa ya namna gani Arusha kwa siku kadhaa zijazo 🐒Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Nilitaka kuuliza kama kuna bwawa kubwa la kufua umeme limejengwaHalafu kuna watu wajinga wanaulizana kwanini Rufiji kuna mafuriko.
Ndo nini hiki mkuu?Babe njoo basi
Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Mbona mambo ya kawaida mvua zikiwa kubwa matokeo ni haya, maana hata nchi matajiri duniani USA, Saudi Arabia na Australia hizi nchi kubwa na miuondombinu bora lakini juzi tu mafuriko makubwa ni hali halisi ya mazingira. Kujipanda tu watu wawe salama mengine yatapita tu.Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Kikubwa mpo salama!Mvua imepiga jana 🙌🙌
Huko nje sijui pana hali gani..
Acha gubu wewe mpiga picha eti hakuna msaada wowote ulitaka waje watu kunywa hayo maji? au msaada gani unaotaka? Wewe unaona mvua kubwa maji yanakuja huwezi kutumia akili kupark gari yako sehemu salama zaidi.Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Watu wa arusha walikuwa bize kuwapokea wanasiasa,tahadhari zingine walizisahaukamanda kama vile hakua na taarifa yoyote kwamba kutakua na hali ya hewa ya namna gani Arusha kwa siku kadhaa zijazo 🐒
yaani kujipa umuhimu kipekee sana, hakuna maana yoyote. taarifa na tahadhari zilikua bayana kabisa, sasa watu wa aina hii ya nabii mnyang'anyi wanao tamani kuchukua nafasi ya Mungu, ndio hivyo tena wameanza kutengeneza mazingira ya kunyoosheana vidole kwenye natural disasters🐒
hata hivyo,
Pole sana watu wa Arusha, hali ya hewa bado si tulivu sana, ni vizuri kuchukua kila tahadhari ili kunusuru uharibifu zaidi kuliko kuzubaa au kubabaika na wanaharakti na wanaohusisha siasa kwenye maisha na mali zenu 🐒
Mkuu gundu wanayo ndugu zako walioshindwa kukulea kwa maadiliKaingia na gundu mwamba
Hayajamsomba Godbless Lema?Imeshatangazwa kuanzia tarehe 12/04 itakuwa full mafuriko kila mahali
Nadhani yatakuwa yamemchagua makondaHayajamsomba Godbless Lema?
Bwawa la Nyerere hilo. Jinga wakubwa nyie WaduduHii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Mitihani ya kuanzia kazi. Poleni sana Wapendwa.Duu Arusha yetu nayo? Mbona kaja na mibalaa yake huyu.
El nino inaendelea kufanya mambo yake !Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Bwawa la Nyerere limerusha maji mpaka Arusha ??!! 😅😂🤣Bwawa la Nyerere hilo. Jinga wakubwa nyie Wadudu