pole ulitaka uende na fashionMimi mwenyewe hapa nina msala wa kubadili paa la nyumba. Mafundi wengi hawawezi upauaji huu. Fundi wangu kanitia hasara sana
ni sahihi kabisa.Nyumba nying za namna hiyo kwanza zinatakiwa mtu anaaza msingi akijuwa anataka kujenga paa la ndani hivyo luanzia vipimo vya urefu na upana nguzo nk lazima vianze chini ili kuzalisha zege upana wa gata pamoja na kujua ukubwa wa bomba na wapi utayapeleka maji
Umemjibu vizuri kabisa .msingi wa kuweka silabu juu huweiz kuwa wa kitoto hata kidogoUkimwaga zege sio contemporary house bali ni ghorofa
Nyumba ambayo utamwaga zege juu msingi wake, na nondo ni tofauti na contemporary house
Usiwe unapenda shortcut
Nimejenga nyumba kama mbili za namna hiyo amna kuvuja hata tone , na kwa sasa kuna technology mbali mblai za kupaua kwa kutumia bitumen membraneUmemjibu vizuri kabisa .msingi wa kuweka silabu juu huweiz kuwa wa kitoto hata kidogo
hapo bado umepigwa lazima unyevuunyevu ushuke darini nduguKama umepata fundi makini utajivunia mjengo wako na furaha tele.
Tunaishi wote kuona uo unyevu unyevu kiongozi.chuma kina mwaka wa pili full misimu yote telehapo bado umepigwa lazima unyevuunyevu ushuke darini ndugu
unyevu utashuka tuh si tupoTunaishi wote kuona uo unyevu unyevu kiongozi.chuma kina mwaka wa pili full misimu yote tele
Wewe ni wle wale tu! Bati halichimbiwi hata kidogoKutana namimi iwapo nyumba yako Ina vuja Mimi nakushauri vzr nyumba haito vuja NAKAMA Ina vuja ninadhibiti kabisa nyumba yako inakua salama number yng hiyo @lwimikowaterprooftz 0716354056 chimbia bati ndani
Weka mfeleji mkubwa tumia bati ya kawaida yn usitumie mgongo Mpana zingatia slop FUNGA mkanda juu wa zege yenye resho kubwa sana hapo huto hitaji water proof ukibugi hapo lazima unitafte nikuwekee water proof ili nyumba yako iwe salama.
Na wengne nyumba ni ya paa la nje sasa anakaribia kufunga mkanda anamwambia fundi nataka hiden roof ndo changamoto zaid hapoKweli kabisa, tatizo linakuja pale anaehitaji kujengewa hana ujuzi wowote anakuja kushtukia anapata tatzo/matatizo badae.
Hapo kwenye tiles mkuu umenikumbusha nyumbani ,chooni na bafuni kwa bimkubwa .Fundi aliweka tiles kama mtoto anachezea matope.Tiles hazieleweki mistari katapakaza masimenti kila mahali .Tiles mara sehemu nyingine zimevimba kama jipu.Ukweli ni kuwa Mafundi wengi awajui jinsi ya kuezeka hizi aina ya paa! Tanzania ya sasa Vijana awataki somea fani yeyote..... wanapenda Short cut. Kuanzia kwenye ufundi magari,simu,Nyumba ndo kabisa unakuta fundi anaweka tiles Chooni maji ayaendi😭. Jirani yangu baada ya kubadilisha mafundi zaidi ya 2 na hasara juu.... nikamwambia juu ya fundi mbobezi wa kuezeka hizi paa(ni graduate wa Civil Eng) Nikampa no yake akamwita...alipopewa Bei akakataa akaendelea tafuta Mafundi Magumashi wa bei rahisi. Mpaka muda huu nnapoandika hapa Nyumba ipo aijapata fundi mzuri na wa bei chee.Waenga walisema BURE AGHALI. Mafundi wabobezi wapo tatizo wengi wetu tunapenda Kitonga
Pole kwa maumivu makaliNyumba hizo ni hatari sn. Sitarudia tena. Zimenipa HASARA KUBWA SANA. Nimeamua kuezeka kawaidi. Sasa nafurahia kuwa nyumbani kwangu kwa raha hata kama mvua inanyesha. Zamani inapokuja mvua ROHO JUU! Maana imewahishusha Gypsam board yote chini. Ikavunja vitu vingi ndani pale. Aise sitakaa nisahau.
Huyo sio fundi makini.Kama umepata fundi makini utajivunia mjengo wako na furaha tele.