ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Una uhakika?Hata Rais wako Pua Ndefu Ngongoti Kimyaaa
Kuna ipi na ipi?Tanzania ipi hiyo?
Na hawa tunaowaona wako Herzegovina na Pakistan?Ushoga hauruhusiwi Tanzania, hilo lipo wazi, ama ulikuwa hujui?
MImi najua kuna hii inayojulikana, ila maelezo yako yanaonyesha wewe hauijui hiyo, ila ipo nyingine unayoijua wewe ambayo wengine hawaijuiKuna ipi na ipi?
maelezo yangu yameonyesha vipi kuwa sijui?MImi najua kuna hii inayojulikana, ila maelezo yako yanaonyesha wewe hauijui hiyo, ila ipo nyingine unayoijua wewe ambayo wengine hawaijui
Unanilisha Hadi nikutake radhi? Mimi ndio nitakuwezaNafanana na Wala Mashoga? Ugomvi wangu Uliowashinda wengi hapa nikiuanzisha utauweza? Narudia nitake Radhi tafadhali.
wizi hauruhusiwi ila wezi wapo pia,Na hawa tunaowaona wako Herzegovina na Pakistan?
Huuogopi huu Mziki Mnene ulioshindikana?Unanilisha Hadi nikutake radhi? Mimi ndio nitakuweza
Ulishindikana Kwa nani? Niogope? SeriouslyHuuogopi huu Mziki Mnene ulioshindikana?
AnzishaTulianzishe kwa Kuingia Vitani rasmi?
Ulishindikana Kwa nani? Niogope? Seriously
Serikali haiingilii masuala ya watu binafsi wakiwa chumbani ni kama Lissu alivyosema huo ndio msimamo, Mwendazake tu na ujeuri wake aliufyata sembuse saizi?
King Kong III kama Serikali ( kupitia Wizara husika ) imekana Juhudi za RC wa Dar es Salaam juu ya Mapambano yake dhidi ya Mashoga na Ushoga kupitia hii attachment hapa bado tu Msimamo wa Tanzania juu ya Ushoga na Mashoga hujaujua tu?