PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Ilikua ni enzi za Mwenda zakeKing Kong III kama Serikali ( kupitia Wizara husika ) imekana Juhudi za RC Makalla wa Dar es Salaam juu ya Mapambano yake dhidi ya Mashoga na Ushoga kupitia hii attachment hapa bado tu Msimamo wa Tanzania juu ya Ushoga na Mashoga hujaujua tu?
Acheni tu Mvua ziache Kugoma, Jua liwe Kali kuliko Maelezo na Mikasa na Ajali mbaya na Kubwa ziendelee Kutokea nchini.
Tumeshalaanika.