Ilikua ni enzi za Mwenda zakeKing Kong III kama Serikali ( kupitia Wizara husika ) imekana Juhudi za RC Makalla wa Dar es Salaam juu ya Mapambano yake dhidi ya Mashoga na Ushoga kupitia hii attachment hapa bado tu Msimamo wa Tanzania juu ya Ushoga na Mashoga hujaujua tu?
Acheni tu Mvua ziache Kugoma, Jua liwe Kali kuliko Maelezo na Mikasa na Ajali mbaya na Kubwa ziendelee Kutokea nchini.
Tumeshalaanika.
acha tu ndugu yangu!!!!,,,,,,,,mimi watoto wangu nimewanunulia kaptula za bati na kufuli manake sielewe!!!!!Nichukue nafasi hii pia Kumpongeza Rais wa Rwanda Kagame ambaye keshasema sehemu salama ya Shoga Kuishi ni Kaburini ila siyo Rwanda na kwa Wanyarwanda.
Kinachonishangaza ni kwamba Marais wa Afrika ninaowasikia Kukemea Vikali na Kupinga Ushoga katika nchi zao na Kukubali hata Kutengwa na Kunyimwa Misaada na Waratibu Wakuu wa Ushoga ( Wazungu ) ni Museveni ( Uganda ), Ruto ( Kenya ) na Kagame ( Rwanda ), ila Marais wengine na Mataifa yao sijawasikia na siwasikii?
GENTAMYCINE nawaomba nao wajitokeze Wakemee na Wapinge au kama labda wameshafanya Utafiti wao wa Kisiri na Kuambiwa kuwa huenda 85% ya Watu wa Mataifa yao ni Mashoga au muda mfupi ujao wanaenda kuwa Mashoga tafadhali wawaweke tu Wazi Watu Wao ( katika nchi zao ) husika ili Wazee wa Fursa tuanze Kujikita katika Kuwekeza na Mafuta mbalimbali yaletayo Ufanisi Kiutendaji.
Enzi ya French Wine Taker inasemaje?Ilikua ni enzi za Mwenda zake
Hakemei hizo tabia, bali ana watahadharisha muwe makiniEnzi ya French Wine Taker inasemaje?
Tushakula vya watu, hatuna kauli ya kuwakemea na kukataa watakayo! Tumekuwa watumwa wa kujitakia!!!Marais wengine na Mataifa yao sijawasikia na siwasikii
Sijamuona Kwenye Orodha yakoUna uhakika?
King Kong III kama Serikali ( kupitia Wizara husika ) imekana Juhudi za RC wa Dar es Salaam juu ya Mapambano yake dhidi ya Mashoga na Ushoga kupitia hii attachment hapa bado tu Msimamo wa Tanzania juu ya Ushoga na Mashoga hujaujua tu?
Acheni tu Mvua ziache Kugoma, Jua liwe Kali kuliko Maelezo na Mikasa na Ajali mbaya na Kubwa ziendelee Kutokea nchini.
Tumeshalaanika.
Kwani ushoga ni tofauti na dhambi nyingine!Mambo ya watu wawili chumbani wewe yanakuhusu nini?
Kwanini Mashoga waonekane ni wabaya harafu wanaowala hao Mashoga probably mtoa mada muonekane wajanja?
Tupe msimamo wako mathalani ukisikia mwanao amepigana na shoga mwenzie wakigombea basha....[emoji101]Kweli inabidi wajitokeze hadharani tujue misimamo yao.
Tupe msimamo wako mathalani ukisikia mwanao amepigana na shoga mwenzie wakigombea basha....[emoji101]
Uweke sawa bro!Mfano wako haujakaa sawa mgen.
Huyo Kagame wako anajivunia kuwa Rwanda kuongoza kwa usawa ya 50/50.
Hajui kuwa mvurugiko wa maadili huanzia hapo.
Ni kwamba anatengeneza tatizo na hayataki matokeo yake
How?Fear of unknown inakutesa sana,pole