Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Watanzania ni kuku sana. Wewe unahusika vipi kama TV haionyeshi matangazo ya pombe? Pumbavu kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok nipe aya ambazo wewe zimekufundisha namna ya kuswaliNarudia tena,soma Quran
Hii sio sawa. Kama kajitosheleza kihivyo, aache kuwazuia vifurushi wenye baa na grosari tuone kama ata survive!Mmilikii amejitosheleza mkuu Hana njaaa ndogo ndogo za Hela ya Matangazo pombee ,sigara,Wala betting😀
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na vijana wa aina yako wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya taifa hiliKama wamiliki wa hayo makampuni hawapeleki tangazo la biashara yao Azam media unategemea litatangazwa kwa miujiza ? hapa si udini wala nini,mwenye kampuni la biyo beer hajawahi peleka tangazo lake katika studio za azam media. FULL STOP.
toa maoni yako acha kushambulia hoja binafsi mkuu.Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na vijana wa aina yako wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya taifa hili