Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mitaani unapo shinda siunakuta na wanawake vichwa wazi ,wavaa vimini kwahiyo huwa unaenda umefumba macho?Kwa hiyo maandiko yanaruhusu kumtazama mtu aliye uchi
Kwa hiyo hao wa mtaani mimi ninawataza wao au unataka kusema ni sahihi wachezaji kukaa uchiHuko mitaani unapo shinda siunakuta na wanawake vichwa wazi ,wavaa vimini kwahiyo huwa unaenda umefumba macho?
Hadithi zimekusanywa miaka mia mbili baada ya kifo cha mtume,kwa nini niziamini, Quran haitoshi!?Nijibu tu hadith zake unaziamin huziamin
Hadithi zimekusanywa miaka mia mbili baada ya kifo cha mtume,kwa nini niziamini, Quran haitoshi
Swala umejifunzia wapi,kutia udhu umejifunzia wapi..............Hadithi zimekusanywa miaka mia mbili baada ya kifo cha mtume,kwa nini niziamini, Quran haitoshi!?
Uwezo wako wa kujenga hoja na kuelewa ni mdogo unachoweza ni matusi tu, acha nikupotezee... Hata hujui nimeandika nini hata hujui unqjibu nini... Wakati tunasoma we ulishinda "chuo"... Ngoja waje wenzio...Hakuna channel yoyote Ya Azam media inayotangaza Betting acha upumbavu na chuki za kichoko. Azam hana dili lolote na kampuni yoyote ya kubashiri.
Jinga hilo, wakati wengine wanasoma yeye yupo "chuo" ambacho hakitoi hata certificate..Tukisema sisi analaumu
Mbona hamna tatizo, itakuwa labda hamna aliyepeleka tangazo la biaWakuu kwema…
Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu.
Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu.
Mdau mwingine akasema yeye hajawahi kuona tangazo la sportspesa, sportybet, biko na mengineo ya aina hiyo katika chaneli hizo.
Je tatizo ni nini haswa?
Ila siku hizi channel zipo nyingi tu, na ving'amuzi vipo vingi tu. Ukiona VP uanachana tu na Azam, unaweza ikaangalia tu hata channel za king'amzi cha zukuUnafiki tu wanatangaza mipira, baikoko, siasa za uongo
Tutawarekebisha wanapokengeuka sio kuhamaIla siku hizi channel zipo nyingi tu, na ving'amuzi vipo vingi tu. Ukiona VP uanachana tu na Azam, unaweza ikaangalia tu hata channel za king'amzi cha zuku
Nonsense mind!Uwezo wako wa kujenga hoja na kuelewa ni mdogo unachoweza ni matusi tu, acha nikupotezee... Hata hujui nimeandika nini hata hujui unqjibu nini... Wakati tunasoma we ulishinda "chuo"... Ngoja waje wenzio...
We kweli Quran huijui,unauliza hadi kutia udhu kwenye Quran!!.. soma Quran achana na habari za abu hurayra mara ibn majah,utapoteaSwala umejifunzia wapi,kutia udhu umejifunzia wapi..............
Nakuuliza ulijuaje vitendo vya swala kama vile rukuu,itidali na sijda bila hadith za mtumeWe kweli Quran huijui,unauliza hadi kutia udhu kwenye Quran!!.. soma Quran achana na habari za abu hurayra mara ibn majah,utapotea
Ulipeleka tangazo lako la bia wakakukatalia?Wakuu kwema…
Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu.
Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu.
Mdau mwingine akasema yeye hajawahi kuona tangazo la sportspesa, sportybet, biko na mengineo ya aina hiyo katika chaneli hizo.
Je tatizo ni nini haswa?
Narudia tena,soma QuranNakuuliza ulijuaje vitendo vya swala kama vile rukuu,itidali na sijda bila hadith za mtume
Sasa mbona anaonyesha mechi za timu zilizo na matangazo ya Betting kwenye jeziMmilikii amejitosheleza mkuu Hana njaaa ndogo ndogo za Hela ya Matangazo pombee ,sigara,Wala betting😀