Mbona sijawahi kuona tangazo la Safari Lager au Serengeti Lite kwenye chaneli za Azam?

Mbona sijawahi kuona tangazo la Safari Lager au Serengeti Lite kwenye chaneli za Azam?

1.Uharamu katika mavazi.
2.Uharamu katika matangazo ya vitu vya haramu kama pombe na kamari.
3.Uharamu katika kusababsha watu kuzembea ibada.
Katika matendo hayawezi kukifanya kitu kuwa haramu.
Mpira kama mpira sio haramu uharahu wake utakuja pale ww binafisi utakovyo utumia huo mpira.
Hata kusali kunaweza kuwa haramu kwako kutokana na jinsi ulivyo itenda hiyo swala.
 
Katika matendo hayawezi kukifanya kitu kuwa haramu.
Mpira kama mpira sio haramu uharahu wake utakuja pale ww binafisi utakovyo utumia huo mpira.
Hata kusali kunaweza kuwa haramu kwako kutokana na jinsi ulivyo itenda hiyo swala.
Sasa mimi nauzungumzia mpira kama wanaocheza yanga au simba
 
Katika matendo hayawezi kukifanya kitu kuwa haramu.
Mpira kama mpira sio haramu uharahu wake utakuja pale ww binafisi utakovyo utumia huo mpira.
Hata kusali kunaweza kuwa haramu kwako kutokana na jinsi ulivyo itenda hiyo swala.
Wewe unataka uislam wa kisasa
Mtu alishushiwa kila kitu
Kama mpira ungekuwa na utukufu,
Mungu angemtuma mtume wake

Quran imeongelea tafiti ngumu za kisayansi na geography

Uislam imeongelea majira Kwa usahihi n.k
 
Hata kama chanel zake hazitokuwa na matangazo hayo lakini bado ana king'amuzi chake ambacho kinaonyesha matangazo hayo na mambo mengine ya haramu kama miziki
 
Mtu anajifanya hatangazi pombe ila ana kiwanda cha kuzalisha energy drinks, analipwa wafanyakazi 3000 Kwa siku, n.k Sasa huyo mtu kwanini tusimwite mnafiki
Mnafiki namba moja ni yule anaye muhukumu mwenzake bila kujitizama yeye.
Ww kuna mtu aliwahi kukuhukumu kwa kuchagua madhambi ya kufanya na kutofanya?
Mbona unaogopa kuiba na kuuwa kwasababu dini yako hairuhusu lakini wakati huo unafanya uzinzi,ushirikina na kusengenya watu ?
Au mbona hutaki kuoa mke wa 2 kwa sababu dini yako hairuhusu ila wakati huo una vimada 4 pembeni?
Alafu kila mtu anafanya jambo linalo mpa faida na sio kukufurahisha ww.
 
Wewe unataka uislam wa kisasa
Mtu alishushiwa kila kitu
Kama mpira ungekuwa na utukufu,
Mungu angemtuma mtume wake

Quran imeongelea tafiti ngumu za kisayansi na geography

Uislam imeongelea majira Kwa usahihi n.k
Ww sio muislam na huna elimu yeyote kuhusu uislamu na mtu mwenye akili huwa hajifanyi mjuaji kwenye vitu asivyo na elimu navyo.
 
Wewe unataka uislam wa kisasa
Mtu alishushiwa kila kitu
Kama mpira ungekuwa na utukufu,
Mungu angemtuma mtume wake

Quran imeongelea tafiti ngumu za kisayansi na geography

Uislam imeongelea majira Kwa usahihi n.k
Well said
Ww sio muislam na huna elimu yeyote kuhusu uislamu na mtu mwenye akili huwa hajifanyi mjuaji kwenye vitu asivyo na elimu navyo.
Kwa nini unasema yeye si muislamu
 
Kama wamiliki wa hayo makampuni hawapeleki tangazo la biashara yao Azam media unategemea litatangazwa kwa miujiza ? hapa si udini wala nini,mwenye kampuni la biyo beer hajawahi peleka tangazo lake katika studio za azam media. FULL STOP.
 
Kama wamiliki wa hayo makampuni hawapeleki tangazo la biashara yao Azam media unategemea litatangazwa kwa miujiza ? hapa si udini wala nini,mwenye kampuni la biyo beer hajawahi peleka tangazo lake katika studio za azam media. FULL STOP.
Sawa kiongozi
 
Sasa mimi nauzungumzia mpira kama wanaocheza yanga au simba
Hata wa simba na yanga utakuwa haramu kwako kutokana jinsi utakavyo utazama utavyo ushabikia.
Mfano ww ukienda kununua jezi ya simba yenye nembo ya m bet tiyari ww unadhambi ya kuvaa nguo inayo tangaza kamari.
 
Kamari ipi anaweza acha kukoment upumbavu kwenye mambo usiyoyajua
Bro ficha upumbavu wako kwenye mambo usiyoyaelewa vizuri. Acha mihemko ya kidini. Wewe na hao mabwana zako wote wabangaizaji tu hakuna dini hapo. Kifupi kabisa, hakuna tajiri hata mmoja duniani mwenye imani, ndio uje useme Africa. Ninyi mnafundishwa kamari haramu na mnashinda mnabet, au mnasapoti betting. Huyo bakhresa wako TV yake kila siku inapromoti SPORTPESA au hujui??? Au mpaka nikufafanulie kwa namna gani??? Acha upuuzi kwenye pesa hakuna dini...
 
Bro ficha upumbavu wako kwenye mambo usiyoyaelewa vizuri. Acha mihemko ya kidini. Wewe na hao mabwana zako wote wabangaizaji tu hakuna dini hapo. Kifupi kabisa, hakuna tajiri hata mmoja duniani mwenye imani, ndio uje useme Africa. Ninyi mnafundishwa kamari haramu na mnashinda mnabet, au mnasapoti betting. Huyo bakhresa wako TV yake kila siku inapromoti SPORTPESA au hujui??? Au mpaka nikufafanulie kwa namna gani??? Acha upuuzi kwenye pesa hakuna dini...
Tukisema sisi analaumu
 
Bro ficha upumbavu wako kwenye mambo usiyoyaelewa vizuri. Acha mihemko ya kidini. Wewe na hao mabwana zako wote wabangaizaji tu hakuna dini hapo. Kifupi kabisa, hakuna tajiri hata mmoja duniani mwenye imani, ndio uje useme Africa. Ninyi mnafundishwa kamari haramu na mnashinda mnabet, au mnasapoti betting. Huyo bakhresa wako TV yake kila siku inapromoti SPORTPESA au hujui??? Au mpaka nikufafanulie kwa namna gani??? Acha upuuzi kwenye pesa hakuna dini...
Hakuna channel yoyote Ya Azam media inayotangaza Betting acha upumbavu na chuki za kichoko. Azam hana dili lolote na kampuni yoyote ya kubashiri.
 
Wakuu kwema…

Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu.

Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu.

Mdau mwingine akasema yeye hajawahi kuona tangazo la sportspesa, sportybet, biko na mengineo ya aina hiyo katika chaneli hizo.

Je tatizo ni nini haswa?
Naona wanywaji na walevi kwenye huu uzi wamechafukwa🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom