ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Acha matusiUna bawasiri?
Kuwa mstaarabu
Hapa tunajibu hoja Kwa hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha matusiUna bawasiri?
Tusi liko wapi?Acha matusi
Kuwa mstaarabu
Hapa tunajibu hoja Kwa hoja
Vipi mapadri wa BARAZA la maaskofu wameshindwa kujua biblia inaruhusu pombe na hio iwe fursa ya kuitangaza redio Maria?😀😃😄Kwaiyo wakemia wa Bakhresa wameshindwa kumwambia kuwa contents za energy drinks Zina madhara.?
Au kwakuwa zinampa pesa ndo halali
NimekudharauTusi liko wapi?
Hahahaha huko hata natngazo la maji safi hakunaVipi Agape TV,Redio Maria,Efatha TV,zinazomilikiwa na wakristo na kwrnye ukristo Pombe inaruhusiwa.........huko hawaweki hayo matanagzo?
Au siyoNimekudharau
Parokiani wanapiga mvinyoVipi mapadri wa BARAZA la maaskofu wameshidnwa kujua biblia inaruhusu pombe na hio iwe fursa ya kuutangaza redio Maria?😀😃😄
😀😃😃Hahahaha huko hata natngazo la maji safi hakuna
Yes ndio fursa hii ya kugawa konyagi kanisani.......na matanagzo ya konyagi yatangazwe redio Maria pale,kudumisha mistari ya bibliaParokiani wanapiga mvinyo
Na kila Jumapili kanisani tunapata divai
Una uharamu ndani yakeQuran inakataza mpira?
Uharam upi?.. acheni kuzua na kujipa uunguUna uharamu ndani yake
Kuna aliyekufa Kwa kunywa energy drink ??Dini yake inamruhusu atuuzie energy drinks zenye sumu zaidi ya bia kikubwa apate pesa
Huu uwongo Sura ya 8 ni Al anfal yenyewe ina Aya 75 tu.Aya 436;8
Kwamba?We jamaa ulizaliwa kuchekesha watu🤣😂😂
Energy drinks zinauwa kuliko biaKuna aliyekufa Kwa kunywa energy drink ??
Kwamba waislamu wanataka tufaidi uzuri wa mvinyo na kitimotoKwamba?
Mimi sijasema hivyo wala katu sitakaa usema uislamu ila huku Pakistan tunakula bangi kama kawaida , walokole nao kwa nyama kwa nyama sio haba 🤔Kwamba waislamu wanataka tufaidi uzuri wa mvinyo na kitimoto
Wanatangaza na energy drink ambayo madhara yake ni makubwa kuzidi biaUnafiki tu wanatangaza mipira, baikoko, siasa za uongo
Pakistan uko ndo Kuna mwarabu anajielewaMimi sijasema hivyo wala katu sitakaa usema uislamu ila huku Pakistan tunakula bangi kama kawaida , walokole nao kwa nyama kwa nyama sio haba 🤔