ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Bora ukilewa unaamka pombe zimeishaKumbe kuzimia na kulewa ni sawa
Energy drinks ikiinywa haitoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ukilewa unaamka pombe zimeishaKumbe kuzimia na kulewa ni sawa
Aya 436;8Weka aya al habib
Kinachoharamisha jambo kwenye uislam ni Quran,aya gani inasema mpira ni haram?..huo utoto wa freemason wapelekee wajinga wamezeYes ni haramu, mpira ni mpango wa freemason
Ndiyo kitu gani?Aya 436;8
We jamaa ulizaliwa kuchekesha watu🤣😂😂Wewe jua tu waislamu hawapendi kuvitangaza vitu vitamu kama pombe na kitimoto, ila haiondoi maana kuwa walokole wabadilike , la sivyo wataonekana wehu tu kila siku.
Vipi Agape TV,Redio Maria,Efatha TV,zinazomilikiwa na wakristo na kwrnye ukristo Pombe inaruhusiwa.........huko hawaweki hayo matanagzo?Wakuu kwema…
Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu.
Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu.
Mdau mwingine akasema yeye hajawahi kuona tangazo la sportspesa, sportybet, biko na mengineo ya aina hiyo katika chaneli hizo.
Je tatizo ni nini haswa?
Rejea QuranNdiyo kitu gani?
Hakuna sura hiyo uliyowekaRejea Quran
Alcohol 0%Hao watu wanafiki sana
Wanauza energy drinks, junk food na sumu zingine halafu wanaona soft beer ni haramu
Wakati wa Quran hapakua na mpiraRejea Quran
we mgalatia punguza mazoea kwenye biashara za watu.Ndo nasema huo ni unafiki wake
Hao watu wanafiki sana
Wanauza energy drinks, junk food na sumu zingine halafu wanaona soft beer ni haramu
Mtume WA Mungu angeshindwa nini kujua mpira, wakati alifunulia mambo yote yajayoWakati wa Quran hapakua na mpira
Kwaiyo wakemia wa Bakhresa wameshindwa kumwambia kuwa contents za energy drinks Zina madhara.?Kwenye uislam Kuna clear cut........Pombe no haramu,.........na hatiwezi kumshangaa muislam yeyote yule anayesimamia huu msimamo
.........------enheeee kwenye ukristo=biblia imesema pombe sio haramu,kunyweni TU...................vipi redio maria,Efatha TV,Agape TV,si waonyeshe Bure 24/7 matangazo ya pombe kwa manufaa mapana ya ukristo?
WasafiSiasa za kweli zipo channel gani
Me Mtanzania, Galatia sipajuiwe mgalatia punguza mazoea kwenye biashara za watu.
Ulishapeleka tangazo ukakataliwa?Unafiki mtupu
50/50Dini yake haituhusu mpira pia
Huyo ni mnafiki tu
Una bawasiri?Mtume WA Mungu angeshindwa nini kujua mpira, wakati alifunulia mambo yote yajayo
Alijua sayansi zote, michezo na Burudani
Allah angejiua mpira ni kitu kitukufu hakika angemfunulia mtume wake S.A.w
Hao watu wanafiki sana
Wanauza energy drinks, junk food na sumu zingine halafu wanaona soft beer ni haramu