Pakistan kuna waarabu?.Ficha ujinga wako.Umeulizwa una bawasiri unadai umetukanwa.Wewe mkimbizi kiswahili kinakupa tabu.Pakistan uko ndo Kuna mwarabu anajielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pakistan kuna waarabu?.Ficha ujinga wako.Umeulizwa una bawasiri unadai umetukanwa.Wewe mkimbizi kiswahili kinakupa tabu.Pakistan uko ndo Kuna mwarabu anajielewa
Dini yake haituhusu mpira pia
Huyo ni mnafiki tu
Tulia mremboPakistan kuna waarabu?.Ficha ujinga wako.Umeulizwa una bawasiri unadai umetukanwa.Wewe mkimbizi kiswahili kinakupa tabu.
Mrembo mama yako.Muulize pesa ya matumizi niliyomtumia kaipata?T
Tulia mrembo
Hajawahi kuweka matangazo ya Sportpesa ikiwa inadhamini mpira?Azam wana matangazo ya kamari?
1.Uharamu katika mavazi.Uharam upi?.. acheni kuzua na kujipa uungu
Allah Akbar1.Uharamu katika mavazi.
2.Uharamu katika matangazo ya vitu vya haramu kama pombe na kamari.
3.Uharamu katika kusababsha watu kuzembea ibada.
What???Allah Akbar
Sijawahi kuona,sio tu sports Pesa , betting yoyote Wala casinoHajawahi kuweka matangazo ya Sportpesa ikiwa inadhamini mpira?
Ila kukwepa kodi na kuiibia serikali hakuna diniMmiliki ni Muislam unataka aweke Tangazo la Pombe
Mmiliki wa Wasafi sio Muislamu?Mmiliki ni Muislam unataka aweke Tangazo la Pombe
Huko si ni Jahannam kabisaWasafi
Hakuna binadamu asiye mnafiki akiwemo wewe ndo maana unaogopa kuiba kwa sababu ni dhambi lakini huo ww ni mzinzi.Unafiki tu wanatangaza mipira, baikoko, siasa za uongo
Ww hapo ulipo umejizuia na madhambi yote?Hao watu wanafiki sana
Wanauza energy drinks, junk food na sumu zingine halafu wanaona soft beer ni haramu
Kamari ipi anaweza acha kukoment upumbavu kwenye mambo usiyoyajuaMbona la kamari anaweka
Wasio weka matangazo ya pombe siyo tv ya Azam na mmiliki ambaye ni muislam, hata Arise and shine tv ambayo mmiliki wake ni mkristo sijawahi kuona tangazo la pombe.Mmiliki ni Muislam unataka aweke Tangazo la Pombe
Hata kilimo kinaweza kuwa haramu kutokana na jinsi ulivyo kifanya.Una uharamu ndani yake
Mtu anajifanya hatangazi pombe ila ana kiwanda cha kuzalisha energy drinks, analipwa wafanyakazi 3000 Kwa siku, n.k Sasa huyo mtu kwanini tusimwite mnafikiHakuna binadamu asiye mnafiki akiwemo wewe ndo maana unaogopa kuiba kwa sababu ni dhambi lakini huo ww ni mzinzi.
Acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu.
Huenda ikawa kweli kwenye issue ya kilimo lakini kwenye issue ya mpira mtazamaji atapata dhambiHata kilimo kinaweza kuwa haramu kutokana na jinsi ulivyo kifanya.
Mfano ukilima kwa kutumia madawa ili upate mazao mengi tiyari hicho kilimo chako kinakuwa ni haramu lakini haimaani kuwa watakao kinunua hicho chakula chako watapata dhambi.