Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hata ukiutazama itakuwa dhambi hakuna namna mpira huo utakuwa halaliHata wa simba na yanga utakuwa haramu kwako kutokana jinsi utakavyo utazama utavyo ushabikia.
Mfano ww ukienda kununua jezi ya simba yenye nembo ya m bet tiyari ww unadhambi ya kuvaa nguo inayo tangaza kamari.