Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Unafiki mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huoni kama wewe una tatizo mbona unataka kumpangia kwa sababu zake binafsi🤣🤣Dini yake inamruhusu atuuzie energy drinks zenye sumu zaidi ya bia kikubwa apate pesa
Azam wana matangazo ya kamari?Mbona anaweka ya kamari?
Kama anauza energy drinks zenye madhara Kwa afya ya watu zaidi ya bia kwanini alone dhambi kutangaza biaSasa huoni kama wewe una tatizo mbona unataka kumpangia kwa sababu zake binafsi🤣🤣
Narudia tena huoni kama wewe ndiyo mwenye tatizo🤣 hizo ni sababu zake binafsi.Kama anauza energy drinks zenye madhara Kwa afya ya watu zaidi ya bia kwanini alone dhambi kutangaza bia
Ulishawahi kunywa energy drinks ukalewa?Dini yake inamruhusu atuuzie energy drinks zenye sumu zaidi ya bia kikubwa apate pesa
Ndiyo nolizimia nusu kufaUlishawahi kunywa energy drinks ukalewa?
Ndo nasema huo ni unafiki wakeNarudia tena huoni kama wewe ndiyo mwenye tatizo🤣 hizo ni sababu zake binafsi.
Mbona la kamari anawekaMmiliki ni Muislam unataka aweke Tangazo la Pombe
Hiyo ni biashara binafsi huwezi kumpangia mtu cha kutangaza,ingekuwa TBC tungehoji.Wakuu kwema…
Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu.
Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu.
Mdau mwingine akasema yeye hajawahi kuona tangazo la sportspesa, sportybet, biko na mengineo ya aina hiyo katika chaneli hizo.
Je tatizo ni nini haswa?
Dini yake haituhusu mpira pia
Huyo ni mnafiki tu
Quran inakataza mpira?Halafu wanapromote mpira pia
Lipi?Mbona la kamari anaweka
Mpira Haram kwenye QuranQuran inakataza mpira?
Aya gani?Mpira Haram kwenye Quran
Kumbe kuzimia na kulewa ni sawaNdiyo nolizimia nusu kufa
Yes ni haramu, mpira ni mpango wa freemasonQuran inakataza mpira?
Soma surat mzamiruAya gani?
Weka aya al habibSoma surat mzamiru