Andrew Tate JF-Expert Member Joined Jun 28, 2020 Posts 4,503 Reaction score 6,861 Feb 21, 2025 #161 Watanzania ni kuku sana. Wewe unahusika vipi kama TV haionyeshi matangazo ya pombe? Pumbavu kabisa.
Al-mukheef JF-Expert Member Joined Feb 2, 2025 Posts 3,727 Reaction score 3,777 Feb 21, 2025 #162 gallow bird said: Narudia tena,soma Quran Click to expand... Ok nipe aya ambazo wewe zimekufundisha namna ya kuswali
gallow bird said: Narudia tena,soma Quran Click to expand... Ok nipe aya ambazo wewe zimekufundisha namna ya kuswali
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Feb 21, 2025 #163 edon66 said: Mmilikii amejitosheleza mkuu Hana njaaa ndogo ndogo za Hela ya Matangazo pombee ,sigara,Wala betting😀 Click to expand... Hii sio sawa. Kama kajitosheleza kihivyo, aache kuwazuia vifurushi wenye baa na grosari tuone kama ata survive!
edon66 said: Mmilikii amejitosheleza mkuu Hana njaaa ndogo ndogo za Hela ya Matangazo pombee ,sigara,Wala betting😀 Click to expand... Hii sio sawa. Kama kajitosheleza kihivyo, aache kuwazuia vifurushi wenye baa na grosari tuone kama ata survive!
OC-CID JF-Expert Member Joined Jul 13, 2023 Posts 200 Reaction score 463 Mar 10, 2025 Thread starter #164 holoholo said: Kama wamiliki wa hayo makampuni hawapeleki tangazo la biashara yao Azam media unategemea litatangazwa kwa miujiza ? hapa si udini wala nini,mwenye kampuni la biyo beer hajawahi peleka tangazo lake katika studio za azam media. FULL STOP. Click to expand... Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na vijana wa aina yako wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya taifa hili
holoholo said: Kama wamiliki wa hayo makampuni hawapeleki tangazo la biashara yao Azam media unategemea litatangazwa kwa miujiza ? hapa si udini wala nini,mwenye kampuni la biyo beer hajawahi peleka tangazo lake katika studio za azam media. FULL STOP. Click to expand... Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na vijana wa aina yako wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya taifa hili
holoholo JF-Expert Member Joined May 10, 2023 Posts 1,859 Reaction score 2,986 Mar 10, 2025 #165 OC-CID said: Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na vijana wa aina yako wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya taifa hili Click to expand... toa maoni yako acha kushambulia hoja binafsi mkuu.
OC-CID said: Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na vijana wa aina yako wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya taifa hili Click to expand... toa maoni yako acha kushambulia hoja binafsi mkuu.